Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,047
- Thread starter
- #81
Sio mond tu kuanzia kibamia, kondeboya na nandyIla kwenye mziki kama mziki zuchu anampiga bao diamond.
Sio mond tu kuanzia kibamia, kondeboya na nandyIla kwenye mziki kama mziki zuchu anampiga bao diamond.
Waongo haoHaa mushaanza kama kipindi kile Harmonize.
Huyo utopoloNaona sasa nchi inataka Kujaa masanamu,any way sanamu ya kingwendu isisahaulike
Kalale kijanaUkikua utaacha
Wewe ni zero brainNimeongea interms za muziki. Sasa kama unajua mziki hat a huwezi uliza mara 2.
Ila kwa kukusaidia ni kuwa zuchu akitoa nyimbo inatumia muda mrefu kutrend kuliko za diamond. Na nyimbo nyingi za zuchu zitaendelea kuishi hata akifa leo.
Mfano walikuwepo wanamziki kama mr nice ambao walihiti sana hadi kimataifa. Ila nyimbo zao zimeshakufa kabla hata hawajafa. Ila kipind mr nice nyimbo zake zinahit kimataifa kulikuwa na wakina saida kaloli, lady Hyde, afande sele, matonya, pr J, tunda, weusi, etc ambao nyimbo zao mpaka leo zinaishi. Hii ndyo maana ya mziki.
Sasa naposema kimziki zuchu anamzidi mbali diamond ndicho namaanisha.
Endelea kukaza fuvuMimi namjua daimondi tu nilimuona katika bango la pepsi big maeneo ya fire pale kama unaenda DIT,
Huyo zuchu ata sura yake sijui wallahi .
Endelea kukaza fuvuwe ni pisi kali,
unaimba nyimbo za zuchu kuliko za fid q.
Kunywa Pepsi bigIfikie hatua watu tukubali nguvu ya wakati , Jide alitamba Kwa wakat wake na mda ushamtupa mkono , ndo mana ss hv anatoa wimbo unachukua one week kupata view 100K , na mtaani hazipigwi sana,wakat Zuchu one week anascore view 7000K na mtaani kumechafuka na yupo busy na show kibao + Matangazo ya makampuni ya kumwaga .... Kuhusu Nandy inaonekana kabisa yupo kwenye Diminishing return japo anajarbu kufight back , Kwa maoni yangu Kwa support aliyo nayo anahtaji tungo tamu kukimbizna na wakat, akiendelea na manyimbo yake ya kukata mauno ataishia kuroga Sana ....Zuchu right now hashikiki ... Namba +wakati zitazidi kujibu maswali na hoja za kibishi .....!!!
Endelea kukaza fuvuUmeongea point kudadeki, umejaza nondo sana kwenye hii comment, ni comment bora na yenye uwelewa ndani yake umedadavua vizuri mziki unaujua sio kama mleta mada, watu wanatakiwa waelewe na sio kudhihaki jitihada za wasanii especially wakike, ushabiki mwingine ni wa kimaandazi sana na inafika mahali huawagawa wasanii na kuwajengea chuki,
FactHuu upuuzi nyimbo Kuishi sijui muliupata wapi hata sijui ni nini hasa.
Unaposema nyimbo kuishi ni nini hao uliowaandika nyimbo zao zinaishi kivipi ujinga huu.
Alafu nyimbo za Mr Nice hazijawi kufanana na msanii wowote kukubaiskeli mfano butu uliotumia Just kwasababu Mr nice naye alikuwa Peak unazijua nyimbo za Diamond au unaandika tu Diamond ana aina mbili za nyimbo
Ukimwona
Nitampata wapi
Kesho
Mbagala
Kamwambie
Nimpende nani
Lala salama
Hizo nyimbo Zuchu kweli useme Ana nyimbo nisiishie hapa Pumbafu Na nusu umeniudhi diotic
Zuchu sio śolo artist anaimbia Bendi gani.
Pili umezungumzia Branding kwamaalezo mengi Branding ndio kilakitu baada ya kipaji wakati Zuchu anatafuta iyo Branding power Nandy alikuwa wapi, kama point ni Brand Zuchu atoke WCB na Nandy atoke Clouds tuone sio unasema WCB tu bila kujua kuna Clouds.
Wewe ndo hujui endelea kukaza fuvuWewe mziki hujui
Wewe utakuwa danga square wa kibamiaWe utakuwa Danga wa Zuchu bila shaka
Na ndo uitwa mziki Kama mwanamziki ila hakunaga mwananyimbo pumbavu mkubwa ZUCHU MAMA LAOBwege huyo jamaa atatutia njaa tu kubishana nae!
Hivi nyimbo ya Enika ya "baridi kama hii" inaweza kuwa na uzito kiasi gani compared na nyimbo zote za huyo Zunchu
Nyimbo ya "Changanya Changanya" ya Enika atafananisha na nyimbo gani kwenye album ya huyo Zunchu!
Nyimbo ambazo zilitoka kabla hata hatujajua kama kuna mtu kama Zunchu atakuja kuwa msanii. Ila zina soul you can feel them with each and every beat. Sio hizo kelele za Eyo Laizer.
Kuna nyimbo na Muziki! Hizo anazoimba Zuchu ni Miziki sio nyimbo!
Kalale dogo endelea kukaza fuvuVya kale dhahabu, we umeujua muziki kupitia zuchu, sisi tuli experience talent sio promotions za Wasafi!
Mama yako pumbavuMamaako mdogo, sema ulikuwa unajinyea bado wakati yeye anafanya mziki
Kalale kijanaInasikitisha sana kwa vijana kutumika kirahisi kwa kununuliwa bando na simu kucha kusifia wasanii.
Ndio mzeeChukua kvant najakulipa
Kalale dogo endelea kukaza fuv
Mnamkosea heshima dada MkuuHabrini wanajamvi:
Nimesikitiahwa sana na mtu mmoja ambae ametoa ya moyoni kwa kupinga kuwa ZUCHU sio msanii namba moya wa kike hapa nchini.