Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,047
- Thread starter
- #101
Wewe ndo kibwengo squareDogo anaeweza kukuzaa kibwengo ww
Wewe ndo kibwengo squareDogo anaeweza kukuzaa kibwengo ww
Sawa nyange familyBaba Levo kwenye ubora wako
Utopolo huo kwa ZUCHU QUEENMnamkosea heshima dada Mkuu
View attachment 1701124
Prof J naona unajifagilia mwenyeweSanamu ya Prof Jay na Jide ziwekwe wapi?
Duu ila nashukuru kunipa hadhi ya Prof Jay.Prof J naona unajifagilia mwenyewe
Vyumbani mwaoSanamu ya Prof Jay na Jide ziwekwe wapi?
Mavi ya kale🚮Mnamkosea heshima dada Mkuu
View attachment 1701124
UtaumiaWewe ndo kibwengo square
Mbona umejidhalilisha sana inamaana wewe una hadhi.Duu ila nashukuru kunipa hadhi ya Prof Jay.
Hadhi nnazo ila si kwa level ya Prof Jay kwenye mziki wa Bongo Fleva.Mbona umejidhalilisha sana inamaana wewe una hadhi.
Mwanzoni nilikuona uko unbiased lakin kumbe upo kishabikiBwege huyo jamaa 😁😁😁 atatutia njaa tu kubishana nae!
Hivi nyimbo ya Enika ya "baridi kama hii" inaweza kuwa na uzito kiasi gani compared na nyimbo zote za huyo Zunchu 😂😂😂
Nyimbo ya "Changanya Changanya" ya Enika atafananisha na nyimbo gani kwenye album ya huyo Zunchu!
Nyimbo ambazo zilitoka kabla hata hatujajua kama kuna mtu kama Zunchu atakuja kuwa msanii. Ila zina soul you can feel them with each and every beat. Sio hizo kelele za Eyo Laizer.
Kuna nyimbo na Muziki! Hizo anazoimba Zuchu ni Miziki sio nyimbo!
Siko biased, ila naongea ukweli ambao mchungumwanzoni nilikuona uko unbiased lakin kumbe upo kishabiki
Endelea kukaza fuvuUtaumia
Unabishana na mtoto aliyezaliwa 2005 mkuuSanamu ya Prof Jay na Jide ziwekwe wapi?
Habrini wanajamvi:
Nimesikitiahwa sana na mtu mmoja ambae ametoa ya moyoni kwa kupinga kuwa ZUCHU sio msanii namba moya wa kike hapa nchini.
Inabidi watanzania tuache kukaza fuvu kwa kujifariji na wakati namba hazifanganyi na kipaji akijifichi, na kwa Hali hii ZUCHU Hana mpinzani kwa Tanzania na kwa Afrika kwa ujumla.
Yaani anaemzidi kwa Afrika ni SIMI tu afu ZUCHU namba mbili, ko kusema sijui utopolo NANDY, MAUA SMA WALA NANDY nikutwanga mahi kwenye kinu au kusubiria embe chini ya mnazi au kusubiria feri nchi kavu au kuchemsha mawe ili yakwive.
Maana hauwezi mlinganisha ZUCHU maybe ni composer, songwriter, dancer, band, performer and singer na wasanii ambao ni singer na performer tu.
Yaani ogopa sana msanii/mwanamziki ambe anaumiza kichwa chini na kutunga mwenyewe afu na anae andikiwa.
HITOMISHO:::
ZUCHU (mwaka mmoja).
1.subscribers 800k+
2.total views 100m+
3.Boomplay 17m+ streams
4.Audiomack 18m+ total play
5.bonus sukari audio 6 hour 500k+
NANDY (miaka minne).
1.subscribers 600k+
2.total views 90m+
3.Boomplay streams 7m+
4.Audiomack 8m+ total play
5.Leo Leo Tena collaboration na koffie 6 hour 100k+
ZUCHU afananishi na yoyote kwa AFRICA isipokuwa SIMI.
SIJAMZUNGUMZIA DIAMOND PLATINUM KWASABABU NDIO MFALME HALISI AKIFUATIWA NA RAYVANNY AMBAYE NI PRINCE WAKE.
SANAMU ZUCHU NA DIAMOND ZINAWAHUSU POSTA.
Hilo jina laketu yani SIMI aisee lazima akipanda stejini kiwake.Habrini wanajamvi:
Nimesikitiahwa sana na mtu mmoja ambae ametoa ya moyoni kwa kupinga kuwa ZUCHU sio msanii namba moya wa kike hapa nchini.
Inabidi watanzania tuache kukaza fuvu kwa kujifariji na wakati namba hazifanganyi na kipaji akijifichi, na kwa Hali hii ZUCHU Hana mpinzani kwa Tanzania na kwa Afrika kwa ujumla.
Yaani anaemzidi kwa Afrika ni SIMI tu afu ZUCHU namba mbili, ko kusema sijui utopolo NANDY, MAUA SMA WALA NANDY nikutwanga mahi kwenye kinu au kusubiria embe chini ya mnazi au kusubiria feri nchi kavu au kuchemsha mawe ili yakwive.
Maana hauwezi mlinganisha ZUCHU maybe ni composer, songwriter, dancer, band, performer and singer na wasanii ambao ni singer na performer tu.
Yaani ogopa sana msanii/mwanamziki ambe anaumiza kichwa chini na kutunga mwenyewe afu na anae andikiwa.
HITOMISHO:::
ZUCHU (mwaka mmoja).
1.subscribers 800k+
2.total views 100m+
3.Boomplay 17m+ streams
4.Audiomack 18m+ total play
5.bonus sukari audio 6 hour 500k+
NANDY (miaka minne).
1.subscribers 600k+
2.total views 90m+
3.Boomplay streams 7m+
4.Audiomack 8m+ total play
5.Leo Leo Tena collaboration na koffie 6 hour 100k+
ZUCHU afananishi na yoyote kwa AFRICA isipokuwa SIMI.
SIJAMZUNGUMZIA DIAMOND PLATINUM KWASABABU NDIO MFALME HALISI AKIFUATIWA NA RAYVANNY AMBAYE NI PRINCE WAKE.
SANAMU ZUCHU NA DIAMOND ZINAWAHUSU POSTA.
vipi bado unataka masanamu ya wekwe?Habrini wanajamvi:
Nimesikitiahwa sana na mtu mmoja ambae ametoa ya moyoni kwa kupinga kuwa ZUCHU sio msanii namba moya wa kike hapa nchini.
Inabidi watanzania tuache kukaza fuvu kwa kujifariji na wakati namba hazifanganyi na kipaji akijifichi, na kwa Hali hii ZUCHU Hana mpinzani kwa Tanzania na kwa Afrika kwa ujumla.
Yaani anaemzidi kwa Afrika ni SIMI tu afu ZUCHU namba mbili, ko kusema sijui utopolo NANDY, MAUA SMA WALA NANDY nikutwanga mahi kwenye kinu au kusubiria embe chini ya mnazi au kusubiria feri nchi kavu au kuchemsha mawe ili yakwive.
Maana hauwezi mlinganisha ZUCHU maybe ni composer, songwriter, dancer, band, performer and singer na wasanii ambao ni singer na performer tu.
Yaani ogopa sana msanii/mwanamziki ambe anaumiza kichwa chini na kutunga mwenyewe afu na anae andikiwa.
HITOMISHO:::
ZUCHU (mwaka mmoja).
1.subscribers 800k+
2.total views 100m+
3.Boomplay 17m+ streams
4.Audiomack 18m+ total play
5.bonus sukari audio 6 hour 500k+
NANDY (miaka minne).
1.subscribers 600k+
2.total views 90m+
3.Boomplay streams 7m+
4.Audiomack 8m+ total play
5.Leo Leo Tena collaboration na koffie 6 hour 100k+
ZUCHU afananishi na yoyote kwa AFRICA isipokuwa SIMI.
SIJAMZUNGUMZIA DIAMOND PLATINUM KWASABABU NDIO MFALME HALISI AKIFUATIWA NA RAYVANNY AMBAYE NI PRINCE WAKE.
SANAMU ZUCHU NA DIAMOND ZINAWAHUSU POSTA.