Mimi Melki
Senior Member
- Mar 31, 2022
- 155
- 260
Naomba kuwa specific kwenye kipaji nilichonacho cha muziki!
• Kati ya bongo flaver na gospel songs, ni muziki upi ambao naweza kuufanya na nikatoka na kujulikana kirahisi?
• Vipi kuhusu namna nitakavyoweza kuu promote muziki wangu baada ya kumaliza matayarisho? (Hasahasa Audio)?
• Vipi kuhusu kuusambaza maredioni? Na gharama zake? Na ni watu wapi natakiwa kuonana nao?
• Muziki unamlipaje msanii baadae pindi atakapofanikiwa? Au ndo napoteza muda tu?
Mawazo yenu tafadhari!
• Kati ya bongo flaver na gospel songs, ni muziki upi ambao naweza kuufanya na nikatoka na kujulikana kirahisi?
• Vipi kuhusu namna nitakavyoweza kuu promote muziki wangu baada ya kumaliza matayarisho? (Hasahasa Audio)?
• Vipi kuhusu kuusambaza maredioni? Na gharama zake? Na ni watu wapi natakiwa kuonana nao?
• Muziki unamlipaje msanii baadae pindi atakapofanikiwa? Au ndo napoteza muda tu?
Mawazo yenu tafadhari!