Mbona manzuri yanayofanywa na CCM, wapinzani hawayapongezi? Huyo huyo Lowassa wenu mbona hapongezi manzuri yaliyofanywa na CCM?
Na kama mradi wa maji yeye ndio aliusimamia iweje anakataa uozo wa Richmond kuwa siyo yeye aliyeusimamia?
Mkuu wewe akili yako kama ya nyumbu tu ulichoandika ndiyo nini wa kiazi kweli.
Mradi wa Richmond msimamizi wake na mtengenezaji ni Lowasa na ndio sababu hata kamati teule ya Mwakyembe walithibitisha hivo bungeni. Lowasa akashindwa kujibu hoja.
Yaani wewe ulichofanya ni kuchanganya kunde maharage pili pili ulezi ngani na ukwaju. Sijui tukusaidieje maana huna unalolielewa
Suala la Richmond lilishafungwa..tafuteni suala lingine kima nyie
Mradi wa Richmond msimamizi wake na mtengenezaji ni Lowasa na ndio sababu hata kamati teule ya Mwakyembe walithibitisha hivo bungeni. Lowasa akashindwa kujibu hoja.
Mbona manzuri yanayofanywa na CCM, wapinzani hawayapongezi? Huyo huyo Lowassa wenu mbona hapongezi manzuri yaliyofanywa na CCM?
Na kama mradi wa maji yeye ndio aliusimamia iweje anakataa uozo wa Richmond kuwa siyo yeye aliyeusimamia?
Kama mradi ulibuniwa 1956 na kutekelezwa 2000s chini ya Lowassa haoni hapo anazidi kumpa Lowassa credit....
Pili, hakuna popote pale Lowassa alisema alibuni huo mradi bali yeye amefanya utekelezaji. Kitu ambacho kiliwashinda marais na mawaziri wengi kuvunja mkataba wa wakoloni
Toa pumba zako hapa, kachukue malipo yako
Ambacho hujakielewa ni nini?
Leo mko Shinyanga kwakua mnajua kabisa Lowasa ndio aliwaondolea adha ya maji mnawadanganya Wananchi kua Mkapa ndie aliesimamia kila kitu na Lowassa hausiki na mafanikio ya mradi huo ambao ni mkombozi kwa wananchi wa Wilaya zote lilipopita Bomba hilo.
Swali langu kwako iweje Richmond abebeshwe zigo Lowassa pekee wakati mnadai hakuna kinachofanywa na Waziri bila uhusika wa Rais?
Toa pumba zako hapa, kachukue malipo yako
Achana na hii kitu iitwayo Robrthn maana kila hoja ya mtu kwake ni pumba nathani yeye ni mcheleWewe ni mmoja wa matakataka mnaolicost taifa hili.
Mkutano wa CCM unaendelea na kwa kauli aliyotoa Sitta muda huu kuhusu mradi wa Maji toka Ziwa Victoria kwenda Mkoani Shinyanga ambao kila mmoja anajua Mh. Lowasa ndio aliusimamia vema mpaka ukakamilika pamoja na vitisho vya Misri.
Bila aibu Sitta anasema mradi huo ulibuniwa kabla ya Uhuru 1956 na mwaka 1996 kwa ushirikiano na Uholanzi walitaka kutekeleza mradi huu tatizo like wa ni pesa ndipo Mkapa akaamrisha zitumike pesa za ndani.
Je kwa maneno ta Sitta issue ya Richmond ilikuaje inafanyika pasipo uhusika wa Rais?
Au mazuri yanayofanywa na Waziri sifa ni kwa Rais ila kashfa itakayofanyika mzigo ni kwa Waziri?