Aljazera
JF-Expert Member
- Feb 11, 2015
- 637
- 224
Mkutano wa CCM unaendelea na kwa kauli aliyotoa Sitta muda huu kuhusu mradi wa Maji toka Ziwa Victoria kwenda Mkoani Shinyanga ambao kila mmoja anajua Mh. Lowasa ndio aliusimamia vema mpaka ukakamilika pamoja na vitisho vya Misri.
Bila aibu Sitta anasema mradi huo ulibuniwa kabla ya Uhuru 1956 na mwaka 1996 kwa ushirikiano na Uholanzi walitaka kutekeleza mradi huu tatizo like wa ni pesa ndipo Mkapa akaamrisha zitumike pesa za ndani.
Je kwa maneno ta Sitta issue ya Richmond ilikuaje inafanyika pasipo uhusika wa Rais?
Au mazuri yanayofanywa na Waziri sifa ni kwa Rais ila kashfa itakayofanyika mzigo ni kwa Waziri?
Bila aibu Sitta anasema mradi huo ulibuniwa kabla ya Uhuru 1956 na mwaka 1996 kwa ushirikiano na Uholanzi walitaka kutekeleza mradi huu tatizo like wa ni pesa ndipo Mkapa akaamrisha zitumike pesa za ndani.
Je kwa maneno ta Sitta issue ya Richmond ilikuaje inafanyika pasipo uhusika wa Rais?
Au mazuri yanayofanywa na Waziri sifa ni kwa Rais ila kashfa itakayofanyika mzigo ni kwa Waziri?