Samweli Sitta athibitisha Richmond ni ya Kikwete

Samweli Sitta athibitisha Richmond ni ya Kikwete

Yaani wewe ulichofanya ni kuchanganya kunde maharage pili pili ulezi ngani na ukwaju. Sijui tukusaidieje maana huna unalolielewa

Ambacho hujakielewa ni nini?
Leo mko Shinyanga kwakua mnajua kabisa Lowasa ndio aliwaondolea adha ya maji mnawadanganya Wananchi kua Mkapa ndie aliesimamia kila kitu na Lowassa hausiki na mafanikio ya mradi huo ambao ni mkombozi kwa wananchi wa Wilaya zote lilipopita Bomba hilo.
Swali langu kwako iweje Richmond abebeshwe zigo Lowassa pekee wakati mnadai hakuna kinachofanywa na Waziri bila uhusika wa Rais?
 
Nadhani uko kwenye kampeni za Magufuli au unafatilia kupitia TV Mgombea wako amethibitisha tena saiv kwani amenukuu kauli za Sitta kua ukiona Kiongozi anajisifia amefanya hivi huyo ni mbinafsi na akaendelea zaidi kwa kusema hakuna kitu anachofanya Waziri bila baraka za Kiongozi wake ambaye ni Rais na wanaongea yote hayo ili kuwaaminisha Watanzania kua Lowasa hakupeleka maji Shinyanga.
Swali langu kwenu kama hakuna kinachofanywa na Mawaziri bila usimamizi au ushiriki wa aliyewateua vipi Swala la Richmond liwe ni la Lowassa pekee?

kwani waziri wa nishati na madini alikuwa nani mpaka hii ishu wamemuusisha lowassa
 
Mkutano wa CCM unaendelea na kwa kauli aliyotoa Sitta muda huu kuhusu mradi wa Maji toka Ziwa Victoria kwenda Mkoani Shinyanga ambao kila mmoja anajua Mh. Lowasa ndio aliusimamia vema mpaka ukakamilika pamoja na vitisho vya Misri.
Bila aibu Sitta anasema mradi huo ulibuniwa kabla ya Uhuru 1956 na mwaka 1996 kwa ushirikiano na Uholanzi walitaka kutekeleza mradi huu tatizo like wa ni pesa ndipo Mkapa akaamrisha zitumike pesa za ndani.
Je kwa maneno ta Sitta issue ya Richmond ilikuaje inafanyika pasipo uhusika wa Rais?
Au mazuri yanayofanywa na Waziri sifa ni kwa Rais ila kashfa itakayofanyika mzigo ni kwa Waziri?

Hujaeleweka kbs, una cheti ata cha elimu ya msingi wewe?
 
kichwa cha habari na uharo uloandika ni vitu viwili tofauti
 
Ni nyie ndio mlituambia Lowassa ni mwizi hasa viongozi wenu,hatusikii lolote lile zaidi ya hilo. Mlimsakama Mmasai hadi akaachia ngazi. La muhimu viongozi wenu wajitokeze hadharani waseme sisi ni waongo na wazushi. No way RichardMonduli itabaki kuwa RichardMonduli hivyohivyo tu
 
Mtanzania anayeshirikisha akili ataibakiza CCM ila anayetumia muhemko ataiondoa.
Unahitaji upembuzi yakinifu kufanya na siyo vijimistari viwili.I
 

Attachments

  • 1443271763206.jpg
    1443271763206.jpg
    67.3 KB · Views: 295
  • 1443271789403.jpg
    1443271789403.jpg
    27.1 KB · Views: 296
SITTA ni PEPO...!!

Alijenga OFISI YA SPIKA URAMBO... nilishangaa na kuchanganyikiwa...!!!

URAMBO kuna BUNGE...?. tena kwa kutumia hela za BUNGE...!!!

Huyu mzee, balaa sana...!!
 
Kama mradi ulibuniwa 1956 na kutekelezwa 2000s chini ya Lowassa haoni hapo anazidi kumpa Lowassa credit....

Pili, hakuna popote pale Lowassa alisema alibuni huo mradi bali yeye amefanya utekelezaji. Kitu ambacho kiliwashinda marais na mawaziri wengi kuvunja mkataba wa wakoloni

https://m.youtube.com/watch?v=gTpfYUvOjvI

video hii inaonyesha raisi mkapa na waziri wa maji mh lowassa ambae ndio mtendaji mkuu wa mradi wakiufungua mradi.
credit nyingi zimwendee mh lowassa kwa kufanikisha mradi
 
Shilingi ina pande mbili na mantiki haichagui upande. Kama sifa za aliyofanya mtu mmoja unampa mwingine basi hata makosa halikadhalika.

Mtoa mada umelenga kabisa jambo ambalo hata mimi nimekuwa nikilieleza hapa mara kwa mara. Huwezi kuwa na keki ukaila na ukabaki nayo wakati huohuo. Hawa FISIWENU, hupenda sifa lakini wanapoboronga lazima wamwangushie mzigo mwingine. Kabisa umeweka mambo bayana. Ama wakubali kuwa aliyetekeleza mradi wa maji Shinyanga ni Lowasa ama Mkapa? Kama ni Mkapa kwa kisingizio kuwa hakuna linalofanyika bila rais, kwa hakika hata Richmond isingeweza kufanyika bila rais. Mbona ni rahisi kuelewa!

Lakini pia kuna upande wa pili wa hoja hii. Tunaona Kuwa tangu Lowasa aondoke Wizara ya Maji hakuna tena mradi mkubwa wa aina yake ambao umetekelezwa. Lakini kumeendelea kuwepo ufisadi wa kutisha zaidi baada ya yeye kutoka serikalini. Kwa mantiki hiyo ni dhahiri kuwa Richmond ilikuwa na wenyewe ambao waliendelea nayo kwa majina mengine (Dowans na baadaye Symbion) na fisadi nyingine (mfano ESCROW), bila uwepo wa Lowasa, lakini maji (kama ya Shinyanga) yalikuwa ya Lowasa kwani alipoondoka serikalini na miradi ya aina yake haikuonekana tena.

Tumshukuru Mungu kwa kumtumia Mr. Six kuwafungua macho Wadanganyika.
 
Mkutano wa CCM unaendelea na kwa kauli aliyotoa Sitta muda huu kuhusu mradi wa Maji toka Ziwa Victoria kwenda Mkoani Shinyanga ambao kila mmoja anajua Mh. Lowasa ndio aliusimamia vema mpaka ukakamilika pamoja na vitisho vya Misri.
Bila aibu Sitta anasema mradi huo ulibuniwa kabla ya Uhuru 1956 na mwaka 1996 kwa ushirikiano na Uholanzi walitaka kutekeleza mradi huu tatizo like wa ni pesa ndipo Mkapa akaamrisha zitumike pesa za ndani.
Je kwa maneno ta Sitta issue ya Richmond ilikuaje inafanyika pasipo uhusika wa Rais?
Au mazuri yanayofanywa na Waziri sifa ni kwa Rais ila kashfa itakayofanyika mzigo ni kwa Waziri?

Mbona manzuri yanayofanywa na CCM, wapinzani hawayapongezi? Huyo huyo Lowassa wenu mbona hapongezi manzuri yaliyofanywa na CCM?

Na kama mradi wa maji yeye ndio aliusimamia iweje anakataa uozo wa Richmond kuwa siyo yeye aliyeusimamia?
 
Richmond ni ya Kikwete by Lissu

Hivi huyu mleta uzi alitaka tu aonekane jf au anadhani kila atakaefungua uzi wake nae atakuwa mburula kama yeye? Hivi heading ya topic yake inaendana na hayo maelezo ya S.Sitta?
 
Sasa hawa vijani wanahemka ninini ? Acha ya waingie! Viva ukawa!
 
Binfsi hiki kichwa cha habari na habari vilinichanganya ila mantik ya jamaa nmeipata vizur...kama unapenda sifa Kwa vi2 vizuri vilivofanywa na m2 ..halafu yakifanyika makosa unakaa pembeni siyo poa...Kwa maelezo hayo kama wanasema hakuna mrad unaofanikishwa na wazir bila rais wakitka kupoka sifa za jamaa kufikisha maji shy ni obvious hata richmond wasikwepe.
 
Mkutano wa CCM unaendelea na kwa kauli aliyotoa Sitta muda huu kuhusu mradi wa Maji toka Ziwa Victoria kwenda Mkoani Shinyanga ambao kila mmoja anajua Mh. Lowasa ndio aliusimamia vema mpaka ukakamilika pamoja na vitisho vya Misri.
Bila aibu Sitta anasema mradi huo ulibuniwa kabla ya Uhuru 1956 na mwaka 1996 kwa ushirikiano na Uholanzi walitaka kutekeleza mradi huu tatizo like wa ni pesa ndipo Mkapa akaamrisha zitumike pesa za ndani.
Je kwa maneno ta Sitta issue ya Richmond ilikuaje inafanyika pasipo uhusika wa Rais?
Au mazuri yanayofanywa na Waziri sifa ni kwa Rais ila kashfa itakayofanyika mzigo ni kwa Waziri?

Kwa Richmond ni tofauti kabisa. Mh Lowasa aliamrisha kwa maandishi wapewe zabuni. Pia alikataa ushauri wa kimaandishi aliopewa na PPRA. Huu uamuzi haukujadiliwa kwenye baraza la mawaziri. Lowasa hawezi kamwe kukwepa ufisadi huu. Na mpaka leo ndiye mmoja wa wanaonufaika na pesa wanayolipwa Dowans hadi leo hii. Umesikia akisema ataangalia upya mikataba ya madini; hivi haishangazi kuwa haongelei kupitia upya mkataba wa Richmind?????
 
Back
Top Bottom