Elections 2010 samuel sitta kupewa uwaziri kama kifuta jasho..na mzee wa kaya

komagi

Member
Nov 1, 2010
62
2
wana kaya kuna tetesi katika pita pita yangu kuwa mkuu wa kaya anataka kumpatia mh. 6 uwaziri fulani ilikumpoza na machungu ya kukosa nafasi ya kugombea uspika wa JMT kwa tiketi ya ccm.
 

Mtu wa Mungu

JF-Expert Member
Nov 9, 2010
444
19
RA na EL wataafiki????????????????????????????????? Vinginevyo ni ndoto!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

Ndachuwa

JF-Expert Member
Mar 8, 2006
6,271
4,544
Utawala wa mkapa Jackson Makwete alikaa benchi 10 years hii ni baada ya kusema aliwahi kumpa karipio Mh Sumaye wakati wa kujadili hotuba ya kumuhizinisha Sumaye awe waziri Mkuu. kati ya wabunge 329, why only Mh Sitta; wako wengi wa kupewa uwaziri. Labda wampe kile cheo cha kuongoza kamati ya usalama alichokuwa nacho Malechela
 

FDR.Jr

JF-Expert Member
Jun 17, 2008
1,357
347
Utawala wa mkapa Jackson Makwete alikaa benchi 10 years hii ni baada ya kusema aliwahi kumpa karipio Mh Sumaye wakati wa kujadili hotuba ya kumuhizinisha Sumaye awe waziri Mkuu. kati ya wabunge 329, why only Mh Sitta; wako wengi wa kupewa uwaziri. Labda wampe kile cheo cha kuongoza kamati ya usalama alichokuwa nacho Malechela

5years mkuu na siyo 10. Maana 1995-2000 alikuwa waziri wa nchi utumishi
 

BABA JUNJO

JF-Expert Member
Nov 9, 2010
241
14
Itakuwa ngumu kwani kwake ni kama fedhehw. Ni sawa na Lowasa leo umwmbie awe Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi utakuwa unataka kumfedhehesha tu.
 

Kiwalani

Senior Member
Feb 25, 2010
129
12
Kuna taarifa kwamba hata mkewe safari hii hapati uwaziri ..... habari ndiyo hiyo!
 

Mungi

JF Gold Member
Sep 23, 2010
16,980
9,558
Ingelikuwa mimi ndiyo 6 ningekataa vyeo vya fadhila, hata kukihama chama.
 

Mungi

JF Gold Member
Sep 23, 2010
16,980
9,558
wana kaya kuna tetesi katika pita pita yangu kuwa mkuu wa kaya anataka kumpatia mh. 6 uwaziri fulani ilikumpoza na machungu ya kukosa nafasi ya kugombea uspika wa JMT kwa tiketi ya ccm.


Ataundiwa tume ya kumchunguza.
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom