Samsungs wanashida gani?

Mkuu kati ya Xiaomi mi 12x na Xiaomi Civi 1s lipi ni chaguo sahihi maana bei naona hazipishani
12X ni flagship mkuu, kuanzia Camera mpaka perfomance hailinganishiki na Hio civi.

Mfano camera kwenye Video 12x inachukua 8k kwa 24fps, 4k kwa 60fps ama 30fps wakati civi ni 4k 30fps tu.

Pia bei sidhani kama ni sawa 12x ni milioni kupanda na Civi ni laki kadhaa.
 
Sikia simu yeyeote inayokaa na chaji perfomance yake lazima iwe ndogo amini navyokuambia mfano mzuri tecno na infinix
 
Hizo alizotaja, mfano A3s ina snapdragon 450 ni soc ambayo haina nguvu sana lakini inakaa na chaji.same kwa samsung wanayo A02s nayo ina sd 450 inakaa na chaji ila mambo mengine average
Chief mkwawa simu yangu inatumia snapdragon 835 vp ni simu nzuri au ya kawaida?
 
Afu
Afu utakuta ina 5000mah
 
Kweli kabisa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…