Samsung wazitangaza rasmi simu za Galaxy S7

Samsung wazitangaza rasmi simu za Galaxy S7

The same song but different melody, sioni jipya hapa labda kidogo LG wameniimpress na LG G5 ambayo ni module phone, tusubiri Sony na HTC tuone nao watakuja na nini amazing
 
nani ameshawahi kuiona s6 au note 5 au s7 kwa macho? mbona design yake ipo tofauti kabisa na matoleo ya nyuma?

mwaka 2015 kulikuwa na flagship moja tu ya android ambayo ni s6 zilizobakia ziliflop sana. tusubiri review za s7 ila sitashangaa nayo ikiwa na memory zenye speed kushinda wapinzani, soc isiopungua speed baada ya matumizi makubwa na warranty nzuri zaidi
 
Samsung wameshatoa mzigo wa sumsung galaxy s7 mzigo hatari na matata kabisa huku ukiwa na battery la 3000mah.
======


Kampuni ya Samsung imezitangaza rasmi simu za Galaxy S7 na S7 edge kwenye tukio la tamasha a simu liliofanyika mjini Barcelona nchini Hispania ambapo mwanzishi wa Facebook, Mark Zuckernberk alishitukiza wahudhuriaji kwa kutokea bila kutarajiwa na kuongelea ushikiano na Samsung katika baadhi ya technolojia.

Kama ilivyo ada toleo jipya huja na maboresho kulingana na tokeo la nyuma yake na Samsung wameweza kufanya kweli kwenye simu zao mpya hasa ukiinganisha na mshindani wake mkuu kwa sasa Apple ambae anatoa simu za iPhone.

Kutoingia Maji: Samsung wamesema Galaxy S7 haiingizi maji kwa kiwango cha IP68 ambapo maji wala vumbi hayaingii ikimaanisha inaweza kwenda chini ya maji zaidi ya mita moja na kukaa humo kwa angalau nusu saa bila kudhurika.

Unaweza kuongeza uhifadhi kumbukumbu wa simu mpaka GB 200 na inawekwa kwenye trey inayowekwa kadi ya simu.

Betri kubwa: Galaxy S7 ikiwa na betri ya 3,000 mAh na edge ikipachikwa betri ya 3,600 mAh wakimuacha iPhone akiwa na betri zake za 1,715 na 2,750 mAh kwa simu zake hivyo kuwa na uwezekano wa kukaa zaidi.

Pamoja na hayo pia samsung wameweka kamera ambayo inaweza kulinda ubora wa picha zinazopigwa kwenye mwanga hafifu.

Pamoja na mazuri yake mengi yaliyoongezwa kwenye uwezo wa simu lakini samsung wamebaki na muundo unaofanana sana na wa kale kitu ambacho kinaweza kisiwasisimue sana wateja wanaojali matoleo kwa kuangalia.
Samsung ni jipu
 
mtu aliyetumia sony never hawez kuwaelewa samsung,
maana samsung ni=na tecno,huawei itel tachi nk
sony ni nxt level............
Duh! Huo ni ushabiki mavi sasa, sijawahi tumia samsung lakini hiyo comparison yako iko very wrong kabisa aisee.
I'm sure 100%
 
mkuu kma hujawai kutumia samsung kaa kimya sasa unabisha nini wakati huna evidence,....
Issue sio kutokuitumia. Mim ninachofahamu processor za samsung ziko very strong sio kama hizo za mediatek(tecno, itel n.k) unazozicompare nazo.
 
Samsung wamezidiii nao ah kila siku simu mpya
Kila siku au kila mwaka? Samsung wana series tofauti za simu na kila series wanatoa toleo jipya mara moja kwa mwaka, na hiyo ni kwa makapuni mengi ya simu.
 
mtu aliyetumia sony never hawez kuwaelewa samsung,
maana samsung ni=na tecno,huawei itel tachi nk
sony ni nxt level...........

Unaongea usicho kijua mkuu! Sony ni kampuni linalofanya vibaya sana sokoni huwezi mlinganisha na Samsung hata siku moja.

Duh! Huo ni ushabiki mavi sasa, sijawahi tumia samsung lakini hiyo comparison yako iko very wrong kabisa aisee.
I'm sure 100%

Teh teh teh! Huyo jamaa anaonekana hajui chochote kamua kuongelea vitu asivyo vijua.
 
I am moving from Samsung to something else, preferably LG.

I have to be able to remove the battery, especially with these low life batteries and long traveling days.

The S7 still does not allow removing batteries, LG G5 does, smoothly.
 
ila zipo mkuu...ila sony hawana mwendelezo wa Z version tena...........
z3 ndo mwsho kitu ka hiko...
z5 huwa za kichina zile mostly
baada za ya z3 kuna z4 ambayo ilitoka tu japan na kuna z5 na z5 compact ambazo zipo dunia nzima
 
Back
Top Bottom