ila kaka kuna flagship na highend.
tecno wanayo flagship ila hawana highend. flagship inakuwa ni kama symbol ya kampuni kuonesha technology yao imeishia wap
kivipi mkuu
16 MEGAPIXEL Siyo ya kitoto, bei je?
mbona kawaida tuh mkuu...xperia z1 ina 20+ megapixelz na sio flagship yao...ina almost mwaka sokoni
last month wife kataka iphone 5s nimemnunulia tena kwa tabu kweli baada ya ku consolidate funds kwenye vyanzo mbalimbali ikiwemo perdiems zangu..Juzi kaona mambo yenu haya ya edge kabaidilika anataka hiyo edge...na kuonyesha msisitizo kazidisha ufundi kweli na kuna style zingine ananipa sijawahi kupewa mwaka wa 9 huu kwenye ndoa..sasa si ni kunisababishia shida huku jamani..samsung please muwe na huruma jamani ..at least wekeni span ya 5 years ndio mtowe simu mpya...in fact iendane sawa na tarehe ya kutangaza matokeo ya uchaguzi wa rais basi na ninyi mnatoa simu mpya..na hili liingizwe kwenye katiba ....
Ninayo clone nauza laki tisa nikuuzie
clone ya simu gani hiyo unauza laki tisa wewe?!!!!!!!!!!!!!
Heen muulize mwenzio taratibu sio unauliza kama unataka kumpiga
hahahaha, laki tisa ni bei ya clone ya pikipiki, sasa yeye anauza clone ya simu nataka nijue ni simu gani...lol!
Heen muulize mwenzio taratibu sio unauliza kama unataka kumpiga
Asante Mamaafacebook kwa kuliona hilo.halafu ajue tu dunia ni ushindani ye akiwaza lak tisa pikpki mwenzake anawaza akaispend wapi
Asante Mamaafacebook kwa kuliona hilo.halafu ajue tu dunia ni ushindani ye akiwaza lak tisa pikpki mwenzake anawaza akaispend wapi
acha hizo wewe, clone ya laki tisa HAKUNA! S5 original yenyewe laki tisa, sasa hiyo clone ya laki tisa ni ya simu gani, naona umeshindwa kujibu swali!
Mmh hukubali kushindwa
last month wife kataka iphone 5s nimemnunulia tena kwa tabu kweli baada ya ku consolidate funds kwenye vyanzo mbalimbali ikiwemo perdiems zangu..Juzi kaona mambo yenu haya ya edge kabaidilika anataka hiyo edge...na kuonyesha msisitizo kazidisha ufundi kweli na kuna style zingine ananipa sijawahi kupewa mwaka wa 9 huu kwenye ndoa..sasa si ni kunisababishia shida huku jamani..samsung please muwe na huruma jamani ..at least wekeni span ya 5 years ndio mtowe simu mpya...in fact iendane sawa na tarehe ya kutangaza matokeo ya uchaguzi wa rais basi na ninyi mnatoa simu mpya..na hili liingizwe kwenye katiba ....