Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,068
- 43,498
asante chief kwa elimu.basi mimi nilidhani flagship inakuwa moja tu kwa mwaka.basi samsung wametoa flagship 2 mwaka huu yaani s5 mwezi wa2 na mwezi huu note edge
pia sio lazima flagship itoke mara moja kwa mwaka sony yeye anatoa mara mbili. mwaka jana katoa xperia z na z1 na mwaka huu katoa z2 na z3. zote zilikuwa flagahip. makampuni kama huawei na lenovo wanatoa hadi flagship 5 kwa mwaka.
Tuko wengi mkuu, all the best we andaa hiyo $1,100 tu j4 sio mbali
Mh
Sent from my iPhone using JamiiForums
die hard wa apple walishaanza kupanga foleni tayari, mimi pia ni die hard wa apple lakini kwa leaks nazoziona mitandaoni kama ndiyo wanabadili design kiasi hicho basi watanikosa, nitabaki na 5s yangu na nitanunua note edge maana imenivutia
steve jobs alikataa habari ya masimu makubwa. hata kama wanafuata trend ya phablets kwa vile soko lina wateja wengi sku hizi basi wangecheza na ipad mini, ile wangetengeza phablet badala ya tablet.
View attachment 182854Apple Katoa na saa na yeye
Ile round shape itakimbiwa na wengi, wangeweka yale matofali yao vilevile
Left hand user ndio tutafaidi hiyo simu maana tunatumia dole gumba la kushoto ambalo ni flexible kwenda kulia. Right hand user yeye dole gumba ni flexible kwenda kushoto bro!
kwa wenzetu tecno unadhani flaghship yao kwa mwaka huu n ipi
Dah ati ka-simu kamoja tu ni US $1,100, HUKU SI NI KUPOTEZA HELA? Kuna nn cha tofauti na mie mwenye tecno p5?
uko sahihi, lakini naona wanataka kuuza chama, wanabadlishana design na samsung sasa! btw, kwa vile wanatoa simu kubwa na ndogo ile ndogo inasemekana itabaki na design ya tofali
hawana flagship hawa. simu zao zote ni midranger.
mhhh.ila haya maphantom yao wanayaita flagship
Hazijafka kwenye Flagship znaishia kwenye Midrange.. Kutokana znatumia Processor Za Bei Ndogo, Camera Mbaya, Hamna 4g, Screen Za Bei Ndogo Pia ... Nadhan kama zngekua znatengenezwa na huawei, zte, au micromax zngeuzwa mpaka laki mbili mpaka 250k.. ila kwakua tecno wez wanauzwA 400k mpaKa 500k