Samsung wajifunze kwa Apple

Samsung wajifunze kwa Apple

Mkuu acha uongo, hizo ni zile fake fake au zimefanyiwa screen replacement, mim niko n iphone 6 mwak wa pili sasa na hakuna hilo tatizo, pia simu yenyewe nilinunua used na mtoto kila siku anapambana nayo kuiangusha mpaka home button inacheza cheza lakini fingerprint bado iko poa kabia.

Sasa kwanini ife wakati wa replacement,na wakati ni swala la kawaida matengenezo??
 
Mkuu acha uongo, hizo ni zile fake fake au zimefanyiwa screen replacement, mim niko n iphone 6 mwak wa pili sasa na hakuna hilo tatizo, pia simu yenyewe nilinunua used na mtoto kila siku anapambana nayo kuiangusha mpaka home button inacheza cheza lakini fingerprint bado iko poa kabia.
Hata mimi natumia iPhone 6 naomba unisaidie kitu. Nikitaka kuprint document kwenye iphone yangu nikichomeka USB wire kwenye computer naona tu picha documents sizioni nifanyeje?
 
Samsung kuna kitu inapaswa wajifunze kutoka kwa wapinzani wao apple inc,nasema hivi kwa sababu haya ni maoni yangu binafsi na mtazamo wangu juu ya kampuni kubwa kama hili kuwa kila siku wanafanya mambo ya kukurupuka.

Samsung imekuwa ni kampuni inayoweka vikolombwezo viiingi kwenye simu hali ya kuwa havina hata umuhimu wowote ule bali ni ujanja wa kumkamata mteja,nitarudi nyuma kidogo tukumbushane na tuje sasa ili kuona ni lini Samsung atajifunza?

Yafuatayo ni mambo ambayo Samsung anapaswa kujifunza.
-Waache kuweka hardware/software features kwenye simu zao amabazo ni useless.
-Waache kuweka feature kabla ya kuzifanyia re-search ya kutosha(Kukurupuka)

Useless features.
Tazama face unlock kwenye Samsung galaxy s3/note 3 n.k.
Japo ni simu ya zamani lakini kampuni kubwa kama hii inapaswa kuona mbali zaidi,haina ubishi Samsung galaxy s3 ilifanya mapinduzi makubwa ilipotoka june 2012.
Moja ya feature iliyokuwa nayo hii simu ni pamoja na face unlock,nashindwa kuelewa kwa nini samsung waliweka hii feature,accuracy yake ni mbovu sana nadhani iliwekwa kuwatoa ushamba watu ili kuwapiga pesa vizuri.
maxresdefault.jpg

Face unlock Samsung kwanza waliiweka nadhani hata hawakuifanyia re-search,hii feature kwenye Samsung ilikuwa inaweza kuwa tricked na picha ya kwenye karatasi.
Samsung ilikuwa kwenye competition na apple iPhone lakini sikuona hiko kitu kwa iPhone mpaka tulipokuja kushuhudia kwenye face id yenye security na kutumiwa kwenye payments.
Ni moja ya feature ya kipuuzi ambayo Samsung waliziweka.

Features zingine ni kama smart scroll ile inayo track eye balls zako ukiwa unasoma na smart stay ile inayo pause video ukitazama pembeni.
Sijashuhudia hizi feature kwenye iphone kutokana na kutokua na umuhimu,hata kama tukiuliza watu 100 wenye note 3 tuwaulize wangapi wanatumia smart scroll 10 hawatofika.

Heart beat rate sensor kwenye Samsung galaxy note 4
Samsung hawakuchoka kuweka mapambo kwenye simu zao na sasa ni heart beat sensor ambayo nimeitumia binafsi na haina accuracy,sasa sijui wanaweka kwa nini?
Kuna watu niliona mtandaoni wana complain heart rate sensor inasoma mpaka 150 bpm,hivi ukifikia hii stage utakuwa hata unaona kweli?
Mimi binafsi nilitest unaweza kusoma 67 sasa hivi baada ya dakika ukiweka inasema 104 baadae tena inarudi 65.
this is complete a joke.
Sensor ipo kwenye apple watch ambayo acccuracy yake ni 97%, ambapo hata iphone x haina heart rate sensor.
p1060377.jpg


Kulipuka kwa Samsung galaxy note 7
Samsung kwa mara ya kwanza walisema kuwa ilikuwa ni shoti kwenye circuit na battery lakini baada ya watafiti kufanya hili jaribio kwa hivi vifaa kwa kutumia safe batteries bado simu ilikuwa inachemka sana hivyo kupelekea galaxy note 7 kukatazwa rasmi katika matumizi.
Tatizo lilikuwa kwenye power management features,hii ni simu ya kwanza kabisa kwa Samsung iliyokuwa na USB-C na ilikuwa ina charge only 35 minutes na tayari imejaa,pia ilikuwa na charge ya kawaida kama convertor.
Tatizo lilikuwa ni tokana na uzembe kama vile kuweka 3500mah battery kwenye simu yenye 7.9mm thin, pia kulikuwa na manufacturing problems,nadhani hapo unaona battery ilivyobanwa,yote hii ilikuwa ni kuipa maisha marefu simu katika matumizi ya battery.

Uzembe huu ulipelekea over heating na simu kuripuka ovyo hivyo kuwa hatari zaidi kwa watumiaji.


Pink line
Tuache mambo ya zamani,je Samsung wamejifunza nini nyuma?
Nadhani mmeshuhudia baadhi ya simu hasa s7/s6 edge zikiwa na pink line kwa pembeni mara nyingi upande wa kulia,mara ya kwanza niliona simu ya rafiki yangu nikadhani labda aliiangusha lakini nilizidi kuona watu wa karibu yangu tena kama wa 3 nao simu zao zipo hivyo ikabidi ni fanye re search ndogo kwenye mtandao,sasa huko nilikuta watu wengi wakilalamika hasa kwenye forums za samsung nao simu zao zipo hivyo wala hawajawahi kuziangusha wala kukalia simu bahati mbaya.
Pink line of pixels down edge screen - Android Forums at AndroidCentral.com
Kulikuwa kuna njia tofauti tofauti za ku fix na mara nyingi ilikuwa ni hardware problems,watu wengine ilibidi wazitume Samsung ili kusudi warekebishiwe.
aHR0cDovL21lZGlhLmJlc3RvZm1pY3JvLmNvbS81L1kvNjQ2OTE4L29yaWdpbmFsL215Y2Utc2Ftc3VuZy1nYWxheHktczctZWRnZS1waW5rLWxpbmUtZGlzcGxheS5qcGc=

Binafsi sijafuatilia tatizo linasababishwa na nini lakini hili limetokea ghafla baada ya Samsung kuingia kwenye vioo vya edge,nahisi hawakufanya pia re-search ya kutosha na walikurupuka kama kawaida yao.

Binafsi siku Samsung wakijua kutengeneza simu nitatumia lakini bado wana safari ndefu hasa kushindana na kampuni kama iPhone.
Nimenunua note 7 2016 imelipuka 2017 nanunua edge inaleta pink line utanishauri nini?niendelee kutumia Samsung?

View attachment 865705


Kuna vitu vingi sana bado sijavizungumza mungu akipenda nitaendelea...............

Ok lets start
Samsung heating(exploding) Vs iphone overheating
Samsung imexplode on a note 7 version whereby mistakes happen na Samsung decided kurdisha Samsung zote na kutoa discount za note 8 ipi iphone ina overheat kwenye near version zote and especially iphone X
Samsung pink line Vs iphone green line
Display ilikuwa problem and competition between company hizo ba pia Samsung wali develop njia ya kufix tatizo hio kulinganisha na iphone na the good thing about Samsung rheir open so anybody can help to fix

Samsung face id fooling( already fixed) Vs iPhone Face id fooling, forgeting and error (still a problem also in iPhone X)
Title inajieleza

Note: Samsung heart rate is buggy but accurate.
 
Sasa kwanini ife wakati wa replacement,na wakati ni swala la kawaida matengenezo??

Touch ID haina replacement mkuu , ile inatembea na motherboard yake yan zile fingerprint za mtu anazoziweka zinakaa kwenye chip ndani ya simu husika hata apple hawaioni. iPhone badirisha vyote lakini kile ki home button ukikitenganisha na simu yake basi Touch ID yake haifanyi kazi tena. Kumekuwepo na fingerprint failure nyingi Sokoni ukweli ni kwamba hizi ni iphone used zimekuwa refurbished sasa upande wa Touch ID ndo huwezi kutengeneza hata mchina hawezi so inabidi waweke hivyo hivyo tu simu ikae bila Touch ID...

NB : Ukiona mtu ana iphone fingerprint haifanyi kazi moja kwa moja jua ni refurbished na hamna jinsi ya kuitengeneza
 
Dah we jamaa noma sana..umeona mbali sana..mm samsung ata unipe bure..i better go for lg..yan hawajajipanga wanakurupuka tu..im now using i phone its a complete phone for a user ambayo huwezi jutia kutumia wala ela yako..hawa jamaa noma sana aisee..
 
Touch ID haina replacement mkuu , ile inatembea na motherboard yake yan zile fingerprint za mtu anazoziweka zinakaa kwenye chip ndani ya simu husika hata apple hawaioni. iPhone badirisha vyote lakini kile ki home button ukikitenganisha na simu yake basi Touch ID yake haifanyi kazi tena. Kumekuwepo na fingerprint failure nyingi Sokoni ukweli ni kwamba hizi ni iphone used zimekuwa refurbished sasa upande wa Touch ID ndo huwezi kutengeneza hata mchina hawezi so inabidi waweke hivyo hivyo tu simu ikae bila Touch ID...

NB : Ukiona mtu ana iphone fingerprint haifanyi kazi moja kwa moja jua ni refurbished na hamna jinsi ya kuitengeneza

Mimi nishahidi kabla sijchukua six plus ya sasa nilikuwa na 5s ambayo ilikufa fingerprint baada ya kubadili display tu.
 
Dah we jamaa noma sana..umeona mbali sana..mm samsung ata unipe bure..i better go for lg..yan hawajajipanga wanakurupuka tu..im now using i phone its a complete phone for a user ambayo huwezi jutia kutumia wala ela yako..hawa jamaa noma sana aisee..

Ulishatumia samsung gani jamaa angu??
 
Mimi nishahidi kabla sijchukua six plus ya sasa nilikuwa na 5s ambayo ilikufa fingerprint baada ya kubadili display tu.

Tatizo la watu ni uelewa tu , sometimes mtu inabidi uangalie post zao unyamaze tu . Kuna watu humu wanakutana na used iPhone 5s yan simu imetumika miaka kibao iliyopita then anategemea itakuwa inakaa na charge kama official site inavyosema.. Sometimes hawa ni kuwaacha na tecno zao tu
 
Ulishatumia samsung gani jamaa angu??

Nimeanza na note 3,nikahamia lg g5 nikaja i phone 6 nikahamia note 5 kwa kujua kuwa itanifurahisha matokeo yake nikaanza kukumbuka LG..i phone the best accesory ever..na ndo natumia hapa..
 
Nimeanza na note 3,nikahamia lg g5 nikaja i phone 6 nikahamia note 5 kwa kujua kuwa itanifurahisha matokeo yake nikaanza kukumbuka LG..i phone the best accesory ever..na ndo natumia hapa..

Ulitegemea kupata nini kwenye note five???maana mimi nina iphone 6+ plus hapa nikikwambia natafuta camera safi humu utaniona kichaa.
 
Tatizo la watu ni uelewa tu , sometimes mtu inabidi uangalie post zao unyamaze tu . Kuna watu humu wanakutana na used iPhone 5s yan simu imetumika miaka kibao iliyopita then anategemea itakuwa inakaa na charge kama official site inavyosema.. Sometimes hawa ni kuwaacha na tecno zao tu

Unajua hauko serios.

Miaka mitano au kumi nyuma ina nini cha kifanya na betri iliyotoka kiwandani mwaka jana???au unadhani iphone 5s zimecha kutengenezwa??
 
Ulitegemea kupata nini kwenye note five???maana mimi nina iphone 6+ plus hapa nikikwambia natafuta camera safi humu utaniona kichaa.

I just needed a perfect phone with everything on it..qualities ambazo ni unique..maana me nikitumia LG na samsung nakua sina tofauti na mtumiaji wa tecno
 
I just needed a perfect phone with everything on it..qualities ambazo ni unique..maana me nikitumia LG na samsung nakua sina tofauti na mtumiaji wa tecno

Aisee!!!kwahiyo shida yako ni kukaa mbali na tecno!!!

Haya tuonyeshe unatumia iphone gani.
 
Aisee!!!kwahiyo shida yako ni kukaa mbali na tecno!!!

Haya tuonyeshe unatumia iphone gani.

Sio kukuaa tu mbali na tecno..kujitofautisha na android tu..ios is the best..natumia i phone 6s..
 
Sio kukuaa tu mbali na tecno..kujitofautisha na android tu..ios is the best..natumia i phone 6s..

Sasa wewe kukaa mbali na android haimaanishi android ni mbaya.ni mtazamo wako tu.
 
Sasa wewe kukaa mbali na android haimaanishi android ni mbaya.ni mtazamo wako tu.

Samsung ina relate mafeatures meengi alaf hayapo 100% compactible..kama jamaa alivyosema juu..inakuja na finger print ila inababaisha tu..bora LG i enjoyed it.

I phone wakiintroduce feature jua hio feature utaitumia na itafanya kazi kwa uhakika wa asilimia 100..
 
Back
Top Bottom