mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,086
- 39,569
Samsung ina relate mafeatures meengi alaf hayapo 100% compactible..kama jamaa alivyosema juu..inakuja na finger print ila inababaisha tu..bora LG i enjoyed it.
I phone wakiintroduce feature jua hio feature utaitumia na itafanya kazi kwa uhakika wa asilimia 100..
Atleast hawaibii watu kwa pesa nyingi.
Kwani feature za iphone wewe unazitumia zote???kama ilivyokusudiwa??ni lini mara ya mwisho ulitumia fingeprint kwa manunuzi zaidi ya appstore???