Ndio maana apple anahitaji vendor wengine wa vioo kama LG kwa miaka ijayo,Samsung ni mlipuaji tu ndio maana walipigwa penalty baada ya kuchelewa kutoa OLED na wakasababisha iphone x zichelewe kutoka,akitokea vendor mwingine watajifunza na wataacha ulipuaji.
Samsung anaweka price za OLED anazotaka kwa sababu wanajua apple hawana pa kwenda tangu yeye ndie vendor mkubwa wa vioo(mlipuaji) duniani lakini Google pixel na iphone watawekeza zaidi kwa LG kwa ajili ya iphone zijazo licha ya yield rate Samsung tutampiga chini aendelee kuwalipulia wengine.
Ndio maana processor mpya ya iphone x(A11 Bionic) hata A10 Samsung amezisikia redioni kwa sababu walishatulipulia mpaka chipset, na vioo tunwahama kama tumeweza chipset vioo hatushindwi.