Wakuu natanguliza salaam.
Naomba mwenye simu hiyo hapo juu kama ni mpya au used si zaidi ya miezi 2 ili mradi ina warranty.
Kama kuna mwenye aina tofauti pia lakini ambayo ni nzuri kwa ajili ya Internet(ISP wa ki Tanzania) naomba ani PM niiangalie,
Natanguliza shukurani.
T
Naomba mwenye simu hiyo hapo juu kama ni mpya au used si zaidi ya miezi 2 ili mradi ina warranty.
Kama kuna mwenye aina tofauti pia lakini ambayo ni nzuri kwa ajili ya Internet(ISP wa ki Tanzania) naomba ani PM niiangalie,
Natanguliza shukurani.
T