Samsung S6 plain na Samsung A10s

Samsung S6 plain na Samsung A10s

A10s sijaona gcam yake...ila kuna jamaa alipata gcam ya a10 alipost kweny uzi,pia utapata picha nzuri ila haiwez zidi s6 kule
je unaweza ku install google camera kwenye Samsung A10s na quality ya camera ikawa nzuri I mean picha zitakua na ubora mzuri tuu compared na s6??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_2188.JPG
IMG_2190.JPG


A10s hyo hapo. Nataka 250k


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii sio sahihi kabisa...kuna mawe ya miaka na yanakimbiza hizi simu za sasa

Unataka kusema Tecno k7 itakimbiza Samsung s5 ?kisa k7 ni ya miaka ya sasa?

Ungekua specific kwamba kuna baadh ya models na sio overall kama ulivyo sema ww

Mimi hata hiyo a10 siwez kuchukua nikaacha s6 kisa battery life sio nzur sana..s6 bado ni jiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
Hv mkuu s7 kuhusu betri maana ni addicted sana s series only
 
Hv mkuu s7 kuhusu betri maana ni addicted sana s series only
Angalau S7 edge ina 3600mAh.
S7 ina 3000mAh na pia kumbuka kwa leo hii Sio rahisi ukapata yenye battery health 100% maana utaambulia refurb au mtumba.

Mm kwa shughuli zangu simu ambayo hainifikishi usiku tena wa Saa nne ikiwa na charge bila kuzima Data kuinunua sijui nini kinishawishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bei gani kwa hapa bongo nami nitafute au hazipatikani kabisa?
Zinapatikana ila hasa online, toleo la M-series la mwaka huu samsung walilenga online market... kwaio hata kwenye store zao hutaikuta labda sample..
Kinachofanyika unatoa oda inaagiziwa moja kwa moja kutoka factory...
Kinyume na hapo labda itokee mtu anunue mwenyewe then aje akuuzie..

Bei ni 550k-600k, au kajarb k.koo utapata ila mpya ni ngumu au ukipata basi ni bei kubwa sbb tofauti na simu ngingne unazoweza chukua kwa bei ya jumla ukapata discount, hizi hamna hio,
Kwa ufupi hawamuuzii mfanya biashara, wanamuuzia mteja.

Wewe tafuta ukiikosa ukiwa kweli unahitj serious niambie nikuunganishe na mhind flan hivi.
 
Zinapatikana ila hasa online, toleo la M-series la mwaka huu samsung walilenga online market... kwaio hata kwenye store zao hutaikuta labda sample..
Kinachofanyika unatoa oda inaagiziwa moja kwa moja kutoka factory...
Kinyume na hapo labda itokee mtu anunue mwenyewe then aje akuuzie..

Bei ni 550k-600k, au kajarb k.koo utapata ila mpya ni ngumu au ukipata basi ni bei kubwa sbb tofauti na simu ngingne unazoweza chukua kwa bei ya jumla ukapata discount, hizi hamna hio,
Kwa ufupi hawamuuzii mfanya biashara, wanamuuzia mteja.

Wewe tafuta ukiikosa ukiwa kweli unahitj serious niambie nikuunganishe na mhind flan hivi.
Sawa kiongozi ngoja nijipange nikiwa tayari ntakutafuta
 
Back
Top Bottom