Bianconeri
Senior Member
- Nov 24, 2019
- 113
- 75
Wana JamiiForums nina option mbili za simu Samsung S6 plain na A10s naombeni mnismbie ni simu ipi bora kati ya hizo ili niweze kuinunua
Nawasilisha
Nawasilisha
kwa upande wa camera chukua hiyo s6 ila kwa upande wa battery chukua a10s kidgo inakaa na chajWana jamii forum nina option mbili za simu samsung s6 plain na a10s naombeni mnismbie ni simu ipi bora kati ya hizo ili niweze kuinunua
Nawasilisha
Technolijia ya simu inabadilika kwa kasi sana. Simu ya miaka 5 nyuma hata iwe nzuri vipi imeachwa sana na simu ya mwaka huu au mwaka jana.
S6 mwisho nadhani ni android 8 wakati a10s ina android 9 sina hakika kama itaends android 10.
Kwangu ni bora kununua tekno ya mwaka huu kuliko iphone ya mwaka 2017.
Technolijia ya simu inabadilika kwa kasi sana. Simu ya miaka 5 nyuma hata iwe nzuri vipi imeachwa sana na simu ya mwaka huu au mwaka jana.
S6 mwisho nadhani ni android 7 wakati a10s ina android 9 sina hakika kama itaenda android 10.
Kwangu ni bora kununua tekno ya mwaka huu kuliko iphone ya mwaka 2017.
Mimi nimezungumzia mobile phone technology generally. Simu ya mwaka 207 haiwezi kua sawa kiteknolojia na simu ya mwaka 2020 kwa sababu mobile phone technology change so fast.iPhone X na iPhone 8 ni za mwaka 2017 . Nitajie techno ya mwaka huu au mwaka Jana ambayo ni Kali kuliko hizo iphone .
Ukishindwa basi leta techno Kali kuliko iPhone 7 Plus ya mwaka 2016
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimezungumzia mobile phone technology generally. Simu ya mwaka 207 haiwezi kua sawa kiteknolojia na simu ya mwaka 2020 kwa sababu mobile phone technology change so fast.
Technolijia ya simu inabadilika kwa kasi sana. Simu ya miaka 5 nyuma hata iwe nzuri vipi imeachwa sana na simu ya mwaka huu au mwaka jana.
S6 mwisho nadhani ni android 7 wakati a10s ina android 9 sina hakika kama itaenda android 10.
Kwangu ni bora kununua tekno ya mwaka huu kuliko iphone ya mwaka 2017.
Technolijia ya simu inabadilika kwa kasi sana. Simu ya miaka 5 nyuma hata iwe nzuri vipi imeachwa sana na simu ya mwaka huu au mwaka jana.
S6 mwisho nadhani ni android 7 wakati a10s ina android 9 sina hakika kama itaenda android 10.
Kwangu ni bora kununua tekno ya mwaka huu kuliko iphone ya mwaka 2017.
Sio tecno ya mwaka huu, ataje hata tecno ya miaka 3 mbele.iPhone X na iPhone 8 ni za mwaka 2017 . Nitajie techno ya mwaka huu au mwaka Jana ambayo ni Kali kuliko hizo iphone .
Ukishindwa basi leta techno Kali kuliko iPhone 7 Plus ya mwaka 2016
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii simu ni mbaya hata kimuonekano ukilinganisha na hao wadogo zake.S2, S3, S4 zilipewa saana promo ila sijui kwanini S5 haikupewa sana promo enzi zake.
Hii ni moja ya flagship jiwe kabisa, na nahisi hata features nyingi za samsung zilianzia katika hii simu.
Sent using Jamii Forums mobile app
S2, S3, S4 zilipewa saana promo ila sijui kwanini S5 haikupewa sana promo enzi zake.
Hii ni moja ya flagship jiwe kabisa, na nahisi hata features nyingi za samsung zilianzia katika hii simu.
Sent using Jamii Forums mobile app
A10s ninatumia hapa ni nzuri,battery,camera etcWana JamiiForums nina option mbili za simu Samsung S6 plain na A10s naombeni mnismbie ni simu ipi bora kati ya hizo ili niweze kuinunua
Nawasilisha
A10s ninatumia hapa ni nzuri,battery,camera etc
Ondoa nini