Battery 97. Sio mbaya…
Tuwekee na bei tupime. Au suala la bei kwako hamna? Ni muhimu upate simu mojawapo hapo?
Ingekuwa ni X Max.. ningekwambia uchukue Aifoni, tena uwende unakimbia.
X plain sina Xperience nayo.
S10 Sm.. anayo rafiki yangu, ni nzuri
Sema kadogo 😂😂