Samsung simu poa sana.... njoo nikuuzie S8 mkuu bei ya jioniSamsung Ni High End Nlinunuliwa Na Kakangu Humu Baraka8 china Mwaka 2014 juzi dogo kaidumbukiza kwa poti la mikojo,haijasumbua wala kufunguliwa ilintoka milion ila kihalali,nkipata pesa nitanunua ila sasa nokia torch inanihusu
Mkuu bila shaka sasa hivi upo na S23Ndio mkuu.... huwa naenda na wakati!! Kila flagship model ya Samsung huwa nanunua S series zote nimetumia na sasa ninayo S8 na nasubiria S9


GoodSure mkuu... nipo na galaxy S23 ultra