Samsung Galaxy S9 special thread

Samsung Galaxy S9 special thread

Ila wakuu bila kupepesa macho samsung simu zao zote ni nzur kuanzia low end wamezifix zimekaa poa mnooo kwa weny kipato cha chini mid end ndo usiseme daah hawa jamaa mm kwangu hawan mpinzani labda sony experia kwa upande wa android phones
Kabisa!! Hebu fikiria hata simu ya kawaida tu wanatumia Amoled display wakati Apple ndo kwanza kaiweka kwa IPhone X na bado ni simu ghali sana!! Samsung ndo baba wa design Kali za simu asee
 
Kabisa!! Hebu fikiria hata simu ya kawaida tu wanatumia Amoled display wakati Apple ndo kwanza kaiweka kwa IPhone X na bado ni simu ghali sana!! Samsung ndo baba wa design Kali za simu asee
Kabisa kaka na ninakuambia huyu jamaa atakimbiza sana huy iphone mpaka wakubali na usisahau kuwa display technology ya iphone wanatengeza kutoka samsung hali kadhalik soc zao za apple a6 a7 a8 na kuendelea
 
Hata hii dislplay waliyotumia kweny grand prim na j5 prim na j7 prim hii technology wao wameiboresh hizo ni disply zao zinaitwa PLS tft plane line switching na ina utofaut mkubwa sanaaaa na IPS tft jaribu kuchukua tft display ya samsung afu kam j5 prime afu linganisha na tecno camon c9 uone kam ziko sawa ni tofaut kabisa kumbe samsung walichofany wameboresh hiz display za tft
 
Naisubiri nokia 9 inakuja na camera itakayotumia penta lenses 5 rotating hawa akina Samsung lazima watakaa chini mwaka huu hasa kwenye imaging
Najua kimauzo samsung anaongoza ila kwenye ubora wa camera the father is NOKIA
 
Naisubiri nokia 9 inakuja na camera itakayotumia penta lenses 5 rotating hawa akina Samsung lazima watakaa chini mwaka huu hasa kwenye imaging
Najua kimauzo samsung anaongoza ila kwenye ubora wa camera the father is NOKIA
Mkuu kuna fununu kuwa S9 inakuja na advancements za hali ya juu sana kwenye camera ngoja tusubiri tujionee
 
Nina tecno h6 toka 2015 ubora uleule na sijaipeleka kwa fundi toka ninunue,nimebadilisha betri tu.
Ha ha ha ha ha ha ha hahaaaah!yaani umebadili battery bado unasema ipo kwenye ubora ule ule!?
 
Kiteknolojia bado nipo 2014 ninyi wenye pesa endeleeni tu..mimi na note 4 yangu hadi iishe kabisa
 
Back
Top Bottom