Itawaghalimu sana kwenye non removable battery na memory card slot....
Baaadhi hawaipendi iphone kwasababu kama hizo, still they have long way to go with their S6 apart from Iphone 6 copycat, the new design which they had been reinvent will going to whack even over their own Galaxy S5..
Appart from external appearance copying, also i can happen to say that this divice is iphone S6..
Let us see....
hii simu ipo next level haifanani na simu yoyote duniani. na cha kuumiza roho zaidi ni kwamba vitu vyote vinavyoifanya hii simu kuwa special vinatoka ndani ya samsung si vitu vya nje ambavyo kila oem anaweza kuwa navyo.
-Processor ya exynos inayokuja na s6 imedestroy processor zote za simu including snapdragon 810. officially ndio simu yenye speed zaidi duniani na toka note 4 samsung wamehitahidi kuifanya touchwiz nyepes.
-Very fast memory hivyo itafanya matumizi ya simu na multitasking kuwa smooth.
lol and for the first time nimeona simu ikigonga 30 fps. habari nzuri kwa gamers wa android atleast na nyie mfunguke macho kidogo.
maybe kuhusu battery wamezingua lakini sd card ni vizuri ambayo hawajaieka sababu always watu wanataka sd card za bei rahisi na kusababisha simu kuwa slow.
s6 storage ndogo kabisa ni gb32 ambazo zinatosha kabisa matumizi ya kawaida na kama una matumizi makubwa kuna version ya gb 128. bado unalalamika sd card? ukumbuke s6 memory zake ni 2.5 faster compare na simu nyengine duniani mtu akieka menory card ni kama kufunga mkokoteni nyuma ya ferrari.
kuhusu design leo hii iphone 6 imekua design ya apple? si juzi juzi tu tulikuwa tunamponda apple kwa kucopy lumia na htc?
Sumsung nao,juzijuzi walikuwa na sumsung s5,note 4 na leo s6 kesho utasikia s7 nakadhalika
hii simu ipo next level haifanani na simu yoyote duniani. na cha kuumiza roho zaidi ni kwamba vitu vyote vinavyoifanya hii simu kuwa special vinatoka ndani ya samsung si vitu vya nje ambavyo kila oem anaweza kuwa navyo.
-Processor ya exynos inayokuja na s6 imedestroy processor zote za simu including snapdragon 810. officially ndio simu yenye speed zaidi duniani na toka note 4 samsung wamehitahidi kuifanya touchwiz nyepes
-Very fast memory hivyo itafanya matumizi ya simu na multitasking kuwa smooth.
Lol and for the first time nimeona simu ikigonga 30 fps. habari nzuri kwa gamers wa android atleast na nyie mfunguke macho kidogo.
Maybe kuhusu battery wamezingua lakini sd card ni vizuri ambayo hawajaieka sababu always watu wanataka sd card za bei rahisi na kusababisha simu kuwa slow.
s6 storage ndogo kabisa ni gb32 ambazo zinatosha kabisa matumizi ya kawaida na kama una matumizi makubwa kuna version ya gb 128. bado unalalamika sd card? ukumbuke s6 memory zake ni 2.5 faster compare na simu nyengine duniani mtu akieka menory card ni kama kufunga mkokoteni nyuma ya ferrari.
kuhusu design leo hii iphone 6 imekua design ya apple? si juzi juzi tu tulikuwa tunamponda apple kwa kucopy lumia na htc?
Hii simu ipo next level haifanani na simu yoyote duniani. na cha kuumiza roho zaidi ni kwamba vitu vyote vinavyoifanya hii simu kuwa special vinatoka ndani ya samsung si vitu vya nje ambavyo kila oem anaweza kuwa navyo.
-Processor ya exynos inayokuja na s6 imedestroy processor zote za simu including snapdragon 810. officially ndio simu yenye speed zaidi duniani na toka note 4 samsung wamehitahidi kuifanya touchwiz nyepes.
-Very fast memory hivyo itafanya matumizi ya simu na multitasking kuwa smooth
Lol and for the first time nimeona simu ikigonga 30 fps. Habari nzuri kwa gamers wa android atleast na nyie mfunguke macho kidogo.
Video moja ya 4k ya let's say 1hour inachukua size gani?
Hii simu sio ya matumiz y kawaida labda dada zetu wanaoongwa ndio wanatumia insta fb na whtsp ila heavy user 32&64gb hazitoshi. hapo 32gb ikija ipo installed na apps za google unabakiwa na 30gb.
Hiyo battery vipi?
Tusisahau kua android ni open source na kuna baadhi ya tricks zinazorequire sd card kutumia s6 nikujifunga tu kwa baadhi ya users, labda kwa wale normal users ambao they only use it for entertainment.
S6 internal memory kuwa faster with that 2.5 bado ni normal issue tu kwasabu S series zina offer 14MB/s write speed and 19MB/s read speed difference can't be seen much on that 2.5 gap.