Samsung galaxy s3 inauzwa bei nafuu

Samsung galaxy s3 inauzwa bei nafuu

Poxino

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
727
Reaction score
53
Model number GT 193000
Ina wiki mpya full navitu vyake kwenyebox
Ninyeusi haina sklachi yoyote
Internet speed yakutosha wi-fi 3G
16 gb
Kamela kama kawa mbele na nyuma
Ni ya nchi ya korea bei 450,000 nipo dar es salaam simu 0755984282
 

Attachments

  • IMG_20131027_153426.jpg
    IMG_20131027_153426.jpg
    217.8 KB · Views: 191
Mpwa ukipata mteja nitafutie na mimi mteja WA Nokia Lumia 900 black kwa laki sita na 80 tu
 
Mmmh sio clone hiyo simu yako?Samsung S3 mpya kwa hiyo bei
 
Model number GT 193000
Ina wiki mpya full navitu vyake kwenyebox
Ninyeusi haina sklachi yoyote
Internet speed yakutosha wi-fi 3G
Adroid version 4.1.9
16 gb
Kamela kama kawa mbele na nyuma
Ni ya nchi ya korea bei 450,000 nipo dar es salaam simu 0755984282

Wakuu msije mkaingia King kwenye hii simu ni clone ,android genuine ya jelly bean haifiki 4.1.9 mwisho 4.1.2

Angalia jamaa anavyolalamika alikuwa na mchina kama huu.

Need android 4.1.9 rom!!plz - xda-developers
@Chief-mkwawa njoo usaidie watu wanaibiwa huku.
 
Wakuu msije mkaingia King kwenye hii simu ni clone ,android genuine ya jelly bean haifiki 4.1.9 mwisho 4.1.2

Angalia jamaa anavyolalamika alikuwa na mchina kama huu.

Need android 4.1.9 rom!!plz - xda-developers
@Chief-mkwawa njoo usaidie watu wanaibiwa huku.

hahaha kaka umeshamjibu wewe inatosha. rom zote za maui ni fake za kichina cha muhimu atume screenshot ya about tuione
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom