Nahonyo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 5,690
- 5,566
Samsung A30 Ram 4GB na memory 64GB inauzwa imenunuliwa dukani tarehe 12 jun 19 Kuna mtua aliitaka nimtumie huko mkoani ila ana maelezo mengi sana. Simu ipo mbezi Luis hata kujaribu tu kuweka laini bado Bei 450,000
Kwa anahitaji PM Ningependa anagitaji aione ajiridhishe, na ikiwezekana anunue mbele ya familia yangu, na apajue kwangu kumuondolea mnunuzi wasiwasi. Bidhaa za kuuzia mkononi.
Kwa anahitaji PM Ningependa anagitaji aione ajiridhishe, na ikiwezekana anunue mbele ya familia yangu, na apajue kwangu kumuondolea mnunuzi wasiwasi. Bidhaa za kuuzia mkononi.