Ngai Moko
JF-Expert Member
- Mar 21, 2016
- 1,403
- 1,876
Simu nzuri haipimwi kwa đź“· pekee,
Simu nzuri haipimwi kwa đź“· pekee,
Daah Bora nirudi tu kwenye ufalme wa Oppo Reno
simu inayokaa na charge 8hrs ina maana utembee na dungu la charger mfukoniNimeangalia ratings nyingi na comparisons nyingi bado S21 Ultra iko at par na Iphone 13 pro max.
Mimi pia natumia S21 Ultra. Mimi nikiweka 120hz nakaa na chaji zaidi ya 8 hours with full usage.
Mimi ni heavy user wa simu kwenye hizi normal operations kama kupiga, emails, text, WhatsApp, video calls nk lakini bado simu inakaa na chaji zaidi ya 8hrs.
Iphone siku wakiondoa lile dirisha ama notch pale juu ndio nitazinunua.
simu inayokaa na charge 8hrs ina maana utembee na dungu la charger mfukoni
unawezaje kusifia ukaaji chaji wa simu ambayo haumalizi siku ?
unless hizo heavy use emails, video calls, texting unazifanya umekaa nyumbani siku nzima
na hata nyumbani bado unaweza kuzinguliwa na January Maharage, katangaza mgao jana
A51 sio high end kumbe.
mm natumia infinix note 10 pro ...zaidi ya dollar 250 ...ni midrange au budget.??
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Note 10 plus achana huyu mnyama.Note10 high end kwa samsung