Samsung galaxy S21 ultra is far better kwa iphone 13 pro max

Samsung galaxy S21 ultra is far better kwa iphone 13 pro max

Mkuu kumbe hizi refresh rate una option ya kutoa kutoka 120 kwenda 60
Yes, kwa samsung una uwezo wa kichagua mwenyewe ubora wa kioo uutakao na kadiri unavyochagua resolution kubwa ndivyo ulaji wa battery huongezeka.

Mi nikiondoa always on display ambayo kwa iphone haipo, wqhd+ na 60hz inakaa na chaji zaidi ya hiyo 13 pro max.
 
Nafikiri analinganisha 13 pro max na S21 ultra.
Nimeangalia ratings nyingi na comparisons nyingi bado S21 Ultra iko at par na Iphone 13 pro max.

Mimi pia natumia S21 Ultra. Mimi nikiweka 120hz nakaa na chaji zaidi ya 8 hours with full usage.

Mimi ni heavy user wa simu kwenye hizi normal operations kama kupiga, emails, text, WhatsApp, video calls nk lakini bado simu inakaa na chaji zaidi ya 8hrs.

Iphone siku wakiondoa lile dirisha ama notch pale juu ndio nitazinunua.
 
Nimeangalia ratings nyingi na comparisons nyingi bado S21 Ultra iko at par na Iphone 13 pro max.

Mimi pia natumia S21 Ultra. Mimi nikiweka 120hz nakaa na chaji zaidi ya 8 hours with full usage.

Mimi ni heavy user wa simu kwenye hizi normal operations kama kupiga, emails, text, WhatsApp, video calls nk lakini bado simu inakaa na chaji zaidi ya 8hrs.

Iphone siku wakiondoa lile dirisha ama nitch pale juu ndio nitazinunua.
Na hapo hapo watu wanasahau kuwa ubora wa kioo cha S21 ultra ni zaidi ya iphone so hata ulaji chaji ni mkubwa. Nasikia mwakani wanatuletea always on display
 
Yes, kwa samsung una uwezo wa kichagua mwenyewe ubora wa kioo uutakao na kadiri unavyochagua resolution kubwa ndivyo ulaji wa battery huongezeka.

Mi nikiondoa always on display ambayo kwa iphone haipo, wqhd+ na 60hz inakaa na chaji zaidi ya hiyo 13 pro max.
Asante kiongozi. Nimekupata sijafikia level hizo ila ningekaa samsung. Humo ngoja ishuke kidogo
 
Hizi vitu zinaongelewa humu mara midrange na flagship sizijuwi ila nahitaji kuzielewa niondoshe ujinga.

Flagship ni zile simu kubwa za daraja la juu zinazoongoza kwenye soko kama iPhones, Samsung Note & S series na brands nyingine kama Huawei, one plus... zile simu kubwa za gharama

Midrange ni simu za daraja la kati kwa ufupi hawa kina Samsung A series, google pixel, xiaomi nk

Halafu budget phone ndio daraja la chini akina Infinix, tecno na simu nyingine bei rahis hizo bei yake labda $100
 
Flagship ni zile simu kubwa za daraja la juu zinazoongoza kwenye soko kama iPhones, Samsung Note & S series na brands nyingine kama Huawei, one plus... zile simu kubwa za gharama

Midrange ni simu za daraja la kati kwa ufupi hawa kina Samsung A series, google pixel, xiaomi nk

Halafu budget phone ndio daraja la chini akina Infinix, tecno na simu nyingine bei rahis hizo bei yake labda $100
Flagship ni simu inayoongoza kwa ubora kwenye brand fulani. Samsung ukiwaambia wataje flagship yao watataja S 21 Ultra, Apple wana iPhone 13 Pro Max, Oppo wana Find X 2 Pro, Xiaomi wana Mi 11 Ultra, Vivo wana X 70 Pro, Huawei na P40 Pro, etc. Simu bora zaidi ambayo brand inalinga nayo ndio flagship yake. Neno limetokea jeshini, meli ambayo kamanda wa kikosi cha mashambulizi majini anakuwa amepanda ndio inaitwa flagship maana ndio ubeba bendera ya kamanda na ndio huwa bora zaidi kuliko nyingine walizonazo.

High end ndio hizo simu kubwa za juu. Hapa unakuta kampuni inazo high ends zaidi ya moja. Unakuta Xiaomi ana Poco F3 na Mi 11 series zote ni high end. Zina premium features.

Midrange ndio za kati. Mfano Xiaomi anazo Note series na Oppo ana Reno series. Samsung na A series. Hata hizi unakuta kampuni inazo zaidi ya moja

Low end ndio zile za kawaida zote. Simu za around chini ya $300 karibia zote ni low end. Hizi unakuta teknolojia ya 2018 ndio inatumika kwenye simu iliyotolewa 2021.

Google Pixel sio simu za kawaida. Kila mwaka Pixel inatoa moto mkali kwa competitors, tena mwaka huu wanatoa units nyingi za flagship yao Pixel 6.
 
Wale wazee wa flagship kama bado unajishauri naomba nikushauri ipi ya kuchukua kati ya hizi mbili bora uende Samsung.

Nilinunua S21 ultra february nikachukua iphone 13 pro niliipata tarehe 5 october baada ya matumizi na reviews mbalimbali Samsung S21 ultra imeonekana better than iphone 13 pro ktk muktadha wa..

Camera
Battery life
Super display

Mengine wadau wataongezea.
Sawasawa Mzee wa Flagship👌👌
 
Hizi vitu zinaongelewa humu mara midrange na flagship sizijuwi ila nahitaji kuzielewa niondoshe ujinga.
Wenyewe ndo mnauliza hapa...

Katika maelezo tukiziweka Tecno na Infinix pale zinapostahili, mtaanza kulalamika!!!

Si unajua ukisema mara ni "low end" au sijui "budget phones" inakuwa ngumu kwa wengine kuelewa lakini ukisema "cheaper phones"... chapchap mwenye nayo anajua pahala lake!! Na hapo ndipo nongwa inaanza...
 
Back
Top Bottom