TRIPLE H
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 651
- 350
Wakuu,
Kwanza nikiri tu kuwa si mzoefu hata kidogo wa simu za Samsung.
Nimekuwa natumia Tecno tu tangu mwaka 2012, kila toleo nanunua na kwa hiyo ninao uzoefu ktk kutumia smartphone za Tecno.
Hadi sasa natumia camon C9 plus.
Juzi kati hivi binti yangu kanitumia zawadi ya Samsung galaxy j8 ambayo listi ya TRA inaonesha imenunuliwa kwa tshs. 640,000/-, lakini kiukweli sijapata raha na simu hii.
Network very slow, picha na video very blurred nk.
Wataalam wa mambo haya na wazoefu wa bidhaa za Samsung, naombeni msaada wenu on how to use the very phone effectively ili na mie nifurahie radha ya simu hizi zinazosifiwa na watu wengi.
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza nikiri tu kuwa si mzoefu hata kidogo wa simu za Samsung.
Nimekuwa natumia Tecno tu tangu mwaka 2012, kila toleo nanunua na kwa hiyo ninao uzoefu ktk kutumia smartphone za Tecno.
Hadi sasa natumia camon C9 plus.
Juzi kati hivi binti yangu kanitumia zawadi ya Samsung galaxy j8 ambayo listi ya TRA inaonesha imenunuliwa kwa tshs. 640,000/-, lakini kiukweli sijapata raha na simu hii.
Network very slow, picha na video very blurred nk.
Wataalam wa mambo haya na wazoefu wa bidhaa za Samsung, naombeni msaada wenu on how to use the very phone effectively ili na mie nifurahie radha ya simu hizi zinazosifiwa na watu wengi.
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app