Wakuu, simu tajwa hapo juu inatatizo la kutoleta majina pindi nitumiwapo sms, yaani majina nimesave lakin mtu akinitumia sms jina haliji inakuja namba tu.
Jaribu kuiloweka kwenye maji yenye chumvi kwa dakika 7 na sekunde 6 kisha iopoe,itikise mara 3 kisha iache juani kwa masaa mawili baada ya hapo sasa jaribu kuanza kuita jina moja baada ya lingine namaanisha ya kwenye contacts.Ahsante
Jaribu kuiloweka kwenye maji yenye chumvi kwa dakika 7 na sekunde 6 kisha iopoe,itikise mara 3 kisha iache juani kwa masaa mawili baada ya hapo sasa jaribu kuanza kuita jina moja baada ya lingine namaanisha ya kwenye contacts.Ahsante