Samson Mwigamba: Hatutakusahau Mizengo Kayanza Peter Pinda

Samson Mwigamba: Hatutakusahau Mizengo Kayanza Peter Pinda

Ukweli ni huo kwamba Pinda ni waziri mkuu mdhaifu kuliko wote waliowahi kutokea hapa Tanzania.. na hizo kauli zake za "mimi nafikiri…, mimi nadhani…, tufike mahali…, ngoja tujaribu kuona…, mimi ningedhani…"ni kauli za kuudhalilisha uwaziri mkuu.. Hana clout.. hana maamuzi.. anakurupuka sana kwenye maamuzi (rejea sakata la Jairo wa wizara ya nishati) ambayo baadae yanamrudia mwenyewe..
 
I think katika nchi hii hakuna mtu mwenye roho mbaya kama Pinda aliyewahi kutokea kuwa kiongozi. lakini kwa sababu ya kujidai kuonyesha kwamba anajali wanyonge watu wanamuona muungwana. kuna maamuzi mengi sana ya kinyama anayafanya lakini kwa bahati mbaya sana jamii haijagundua hilo
 
Back
Top Bottom