Samson Mwigamba: CHADEMA ndumilakuwili


Well spoken [emoji106][emoji106][emoji106]
 
Hakuna mwanasiasa ambaye maneno yake yamenyooka wote wachumia tumbo tu,ptuu ngoja tuendelee kupambana na hali zetu tu.
 
CHADEMA wenyee wanasema ni kama Kanisa la kilokole, ukiokoka unapolekelewa na kutumainishwa kwamba UKIFA utaenda mbinguni kwa baba. Ila apana ruksa kuhoji chochote, we ukiambiwa hiki au kile unatakiwa kuitikia "Amin".
 
Ni kweli chadema ni ndumi la kuwili,bali Mwigamba ni ndumi la kutatu.Yaani Act,chadema na ccm.Ila amejikita ktk kuangalia tumbo lake.
 
Hebu Watanzania tufike mahali tujifunze kutafakari kwa dhati ili kujua kama kuna haja ya kusema kila jambo unalolifikiria ama la. Samson Mwigamba bado ni rika la vijana ambao kimsingi kuwepo kwao kunapaswa kuonyesha uhai na ustawi wa taifa la kesho. Hali ilivyo kwa sasa Mwigamba hakupaswa hata kuwa mwanasiasa wa chama chochote tena ama la angekuwa mwanasiasa asiyekuwa muumini wa chama chochote la mwanachama wa chama chake yeye pekee yake. Si sahihi kwa ujenzi wa demokrasia mtu akahama chama zaidi ya kimoja halafu bado akajiita mwanasiasa na kulilia demokrasia.

Demokrasia haimanishi uhuru wa kila kitu! Ni kweli kwamba hata maamuzi yanayofikiwa kwa kura huwa ni ya kidikteta kwani huwapa fursa wengi na wachache kukosa. Lakini katika demokrasia wale wachache hulazimika kukubaliana na maamuzi ya wengi na hivyo mambo huendelea kwa namna hiyo.

Ningetarajia kuwa kijana Samson angezungumzia kushindwa kwake kushirikiana na wenzake kukiendesha chama chao cha ACT-Wazalendo ambacho yeye ni miongoni mwa waasisi badala ya kuanza kuizungumzia CHADEMA ambacho yeye si mwanachama tena! Anaizungumzia CHADEMA ya wakati ule kabla hajaihama na sasa anataka kuiminisha jamii kuwa chama hiki hakifai. Kimsingi yeye Mwigamba ndiye hafai kuwa mwanachama kwenye chama chochote.

Ninadhani vijana wote aina ya Mwigamba wajifunze namna nzuri ya kufanya siasa wasirithi style moja tu ya kisiasa kwamba ukikihama chama chako basi umepata uthubutu wa kuanza kukishambulia it is rubbish! Serious we get fade up with your political styles!
 
CCM kuna ukwasi gan wa kutosha?Hebu tusaidie
Wana fursa ya kula hela ya umma bila kuhojiwa. Hukuona mgao wa 10m kwa wabunge wote ili tuu waseme ndio muswada wa madini upite kwa dharula?
 
Wazungu wanasema Ignorance is a bliss...yan hapa kinachomsumbua Mwigamba ni ujinga na kukosa maarifa, hafahamu kuwa yeye ndiye ndumilakuwili aliyehama vyama vi3 hadi sasa ndani ya kipindi kifupi tu!
 
angeeleweka kama angetaja majina ya mafisadi walioko ccm kwa sasa sio mtu akishatoka ccm ndio tunaambiwa fisadi,huo ufisadi ameufanya lini?
 
angeeleweka kama angetaja majina ya mafisadi walioko ccm kwa sasa sio mtu akishatoka ccm ndio tunaambiwa fisadi,huo ufisadi ameufanya lini?
KWAN AKITAJA MAFISADI YALIYOKO CHADEMA KWA SASA KUNA TATIZO?
 
Hongera samson,'sizitaki hizi ni mbichi',kazana ukuu wa wilaya na vyeo vingine kwako vipo mlangoni mwako, ongeza bidii
 
Wazungu wanasema Ignorance is a bliss...yan hapa kinachomsumbua Mwigamba ni ujinga na kukosa maarifa, hafahamu kuwa yeye ndiye ndumilakuwili aliyehama vyama vi3 hadi sasa ndani ya kipindi kifupi tu!
wALIOHAMA VIWIILI KINA lOWASA NDIO WANA MAARIFA?
 
Kwa hiyo unataka kusema waliohama CCM kina Lowasa,Sumaye,Kingunge,Masha na Nyarandu wanasumbuliwa na njaa kwenye tumbo?
Ni halali kuhamia cdm lakini ni haramu kuhama cdm. Hizo ndiyo akili za nyumbu wa cdm
 
Mbona kama vile ana matatizo? Why CHADEMA everytime??
Usipoisema CHADEMA utaonekana hujafanya kazi iliyokupeleka ccm.
Hawana hoja, wakihojiwa wanatuma polisi badala ya kujibu hoja. Nyalandu ametoa sababu 6 zilizomfanya ajiondoe ccm, hawajajibu hoja hizo mpaka leo. Zoidi wanamwita fisadi.
 
mkuu chanzo cha imani ni kusikia na kuona. kwa maana hiyo unaaminishwa kwa kusikia au kuona. sasa hawa chadema walituaminisha au kutuonesha uongo. ndio maana waliempachika jina la fisadi ndo akawa mgombea tena wa bila kupingwa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…