Samson Mwigamba: CHADEMA ndumilakuwili

Samson Mwigamba: CHADEMA ndumilakuwili

Mwigamba naye ni ndumilakuwili akumbuke alivyo isaliti chadema. kweli mnafiki hana Alama.
 
Chadema ni kikundi chenye sifa ya kuwa na Ndimi mbili kama swira(nyoka)

Raila Odinga Kenya wananchi na taasisi muhimu zinamuelewa kwakuwa anasimamia anachopigania, Mbowe haaminiki, haeleweki kwakuwa si baridi wala si moto(Vuguvugu) pia ni popo

Mbowe anayemshutumu muda si punde ndiye Swahiba wake mkubwa ilimladi apenyeze rupia hata kama wanachama wake watamshangaa na yeye atawashangaa kwa kitendo cha kumshangaa

Wanaoondoka Chadema wanatuhumiwa kupenyezewa rupia nami naweza kukubali kama ambavyo ningeweza kukubali Mh.Mbowe kupenyezewa rupia na kubinafsisha Chama chake.
mbowe.jpg
 
Mwigamba naye ni ndumilakuwili akumbuke alivyo isaliti chadema. kweli mnafiki hana Alama.
Aliisaliti vp CHADEMA?Kuandaa mbinu za ushindi ni usaliti?
 
Huyu anatapata kama yule jamaa wa Pingu yule aliyekuwa msemaji wa klabu fulani
Naona niongee kijita Mwigamba atanielewa
"Kutiki masika Chikaka ouchiswasya abhajita ti bhanu bha masoro siga amasoro mwanawasu
Wewe ndo huna msimamo sijui mjita pori wa wapi acha propaganda zako
Hawezi acha huyo kea sasa Lumumba wanajitahidi kupost upupu ili boss awaone wapate teuzi si unajua kuna nafasi wazo Kagera?so wanagombea teuzi
 
Mwigamba kuhama ni njaa Nyalandu kuhama ni kamanda na shujaa hahaaaaaa ujinga wa kiwango chja kudeki lami
Sina chama ambacho mimi ni mwana chama wake but kabla ya kulinganisha hawa wahamaji hebu jiulize; katika kuhama nani anapoteza nini!? Hivi mtu anaye toka upinzani na kwenda ccm unaweza sema ni mzalendo kweli!?

Siamini cause ccm yapo maslahi lakini mtu anaye toka ccm kwenda upinzani (kwa case hi tumjadiri Nyarandu) anapoteza ubunge wenye marupurupu kibao (Enzi ya JK walikua wanakwenda na kama Tsh 12M) halafu aende upinzani, huko anapata nini!? Is like kwenda upinzani ni kupoteza kila kitu but kwenda ccm is for gain.

Mwigamba awe tu mkweli, kundi lake karibu wote waliofukunzwa sasa hivi wana kula kwa mrija, Juliana Shonza, Kitila Mkumbo, mama yule Ex mwenyekiti wa Agizo la Chama Tawala, mbona wote hawa wamepata SHAVU!? Who know Mwigamba ataramba nini kesho!?
 
Ukiwa mwanachama wa ccm huwez kuwa akili timu,sijui mnapojiunga huko mnanyofolewaga ufahamu?!,sijui kwa kwakweli
cdm.jpg
Hawa ndio CHADEMA wenye akili timamu?Unadeki Lami nawe unajita mzima?
 
Hawezi acha huyo kea sasa Lumumba wanajitahidi kupost upupu ili boss awaone wapate teuzi si unajua kuna nafasi wazo Kagera?so wanagombea teuzi
wewe umekuja kutoa upup ili uteuliwe na Mbowe?
 
Sina chama ambacho mimi ni mwana chama wake but kabla ya kulinganisha hawa wahamaji hebu jiulize; katika kuhama nani anapoteza nini!? Hivi mtu anaye toka upinzani na kwenda ccm unaweza sema ni mzalendo kweli!? Siamini cause ccm yapo maslahi lakini mtu anaye toka ccm kwenda upinzani (kwa case hi tumjadiri Nyarandu) anapoteza ubunge wenye marupurupu kibao (Enzi ya JK walikua wanakwenda na kama Tsh 12M) halafu aende upinzani, huko anapata nini!? Is like kwenda upinzani ni kupoteza kila kitu but kwenda ccm is for gain. Mwigamba awe tu mkweli, kundi lake karibu wote waliofukunzwa sasa hivi wana kula kwa mrija, Juliana Shonza, Kitila Mkumbo, mama yule Ex mwenyekiti wa Agizo la Chama Tawala, mbona wote hawa wamepata SHAVU!? Who know Mwigamba ataramba nini kesho!?
Alipotoka CHADEMA akaenda ACT alikua anatafta uteuzi gan huklo ACT?
 
Tusimshambulie Mwigamba hebu tujiulize alichokisema kina MANTIK na kama kipo je yupo sahihi au
Hawezi kuwa na mantiki maana hana ujasiri wa kuwa objective mkuu.

Kama angekuwa alihama Chadema kwa hiyari ningeweza kumpa benefit of doubt. Hata Zitto sasa amegundua kuwa Prof Kitila na Mwigamba walimuingiza mkenge.

Vv
 
Yeye ndiyo ndumilakuwil,kaanzia Chadema,Act wazalendo na sasa Ccm,ka Mwanamke mwenye kimeni
 
Ni kawaida muumini mpya aliyeongolewa karibuni kuikosoa dini yake ya zamani. Hakuna jipya chini ya jua.
 
Alipotoka CHADEMA akaenda ACT alikua anatafta uteuzi gan huklo ACT?
Fatilia tu uanzishwaji wa hicho chama na jinsi kilivyo kua na resources kibao kwa muda mfupi ili hali hakina source of fund inayo julikana; hakikua na ruzuku wala chochote but nini au wapi walitaka kufanya au kwenda na wakashindwa kwasababu ya pesa!? Fikiria tu kwa kutumia akili yako ulio pewa na Mungu na sio mahaba na chama chochote.
 
Mwigamba kuhama ni njaa Nyalandu kuhama ni kamanda na shujaa hahaaaaaa ujinga wa kiwango chja kudeki lami
Mazingira yao yanatofautiana. Huyu kaacha na cheo kutoka chama chenye ukwasi wa kutosha, lakini huyu mwingine kaacha msimamo wake kwa vile hana lishe na kukimbilia makombo chini ya meza wakati mmwaga makombo hajabadilika. Ni njaa hiyo
 
Fatilia tu uanzishwaji wa hicho chama na jinsi kilivyo kua na resources kibao kwa muda mfupi ili hali hakina source of fund inayo julikana; hakikua na ruzuku wala chochote but nini au wapi walitaka kufanya au kwenda na wakashindwa kwasababu ya pesa!? Fikiria tu kwa kutumia akili yako ulio pewa na Mungu na sio mahaba na chama chochote.
CHADEMA walisema ACT imeanzishwa na Lowasa ili akikatwa CCM akimbilie huko so ni kwel?
 
Mazingira yao yanatofautiana. Huyu kaacha na cheo kutoka chama chenye ukwasi wa kutosha, lakini huyu mwingine kaacha msimamo wake kwa vile hana lishe na kukimbilia makombo chini ya meza wakati mmwaga makombo hajabadilika. Ni njaa hiyo
CCM kuna ukwasi gan wa kutosha?Hebu tusaidie
 
Mwigamba ni ndumila kutatu,CCM-CHADEMA-ACT-CCM........JELA.....Ndumila kutano
Yeye alishakuwa mwenyekiti wa chadema mkoa ndio anajua chadema ilivyo. Ss ww mwenzangu na mm hata kadi ya uanachama huna unajifanya mjuaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom