technically JF-Expert Member Joined Jul 3, 2016 Posts 13,557 Reaction score 57,857 Oct 6, 2025 #1 Samia yupo wapi na yu Hali gani? Kampeni zimesitishwa? Hakuna uchaguzi mwaka huu Bila reform tuliwaambia mkashupaza shingo Tuendelee kuwepo!!
Samia yupo wapi na yu Hali gani? Kampeni zimesitishwa? Hakuna uchaguzi mwaka huu Bila reform tuliwaambia mkashupaza shingo Tuendelee kuwepo!!
Black cap JF-Expert Member Joined Oct 13, 2023 Posts 920 Reaction score 1,173 Oct 6, 2025 #3 technically said: Samia yupo wapi na yu Hali gani? Kampeni zimesitishwa? Hakuna uchaguzi mwaka huu Bila reform tuliwaambia mkashupaza shingo Tuendelee kuwepo!! Click to expand... Amemteka polepole
technically said: Samia yupo wapi na yu Hali gani? Kampeni zimesitishwa? Hakuna uchaguzi mwaka huu Bila reform tuliwaambia mkashupaza shingo Tuendelee kuwepo!! Click to expand... Amemteka polepole
technically JF-Expert Member Joined Jul 3, 2016 Posts 13,557 Reaction score 57,857 Oct 6, 2025 Thread starter #4 Casio said: Amemteka polepole Click to expand... Hata akijiteka hakuna uchaguzi mwaka huu!!
K kamarah JF-Expert Member Joined Nov 8, 2016 Posts 1,224 Reaction score 2,432 Oct 6, 2025 #5 Àcha kuaminisha umma matango pori, tafuta ratiba ya kampeni uone leo Kuna tukio gani!?
Lusungo JF-Expert Member Joined Jan 4, 2014 Posts 29,489 Reaction score 42,564 Oct 6, 2025 #6 technically said: Samia yupo wapi na yu Hali gani? Kampeni zimesitishwa? Hakuna uchaguzi mwaka huu Bila reform tuliwaambia mkashupaza shingo Tuendelee kuwepo!! Click to expand... Hahahaha mtapona kichaa mwaka huu shwaini!!
technically said: Samia yupo wapi na yu Hali gani? Kampeni zimesitishwa? Hakuna uchaguzi mwaka huu Bila reform tuliwaambia mkashupaza shingo Tuendelee kuwepo!! Click to expand... Hahahaha mtapona kichaa mwaka huu shwaini!!
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,467 Reaction score 65,790 Oct 6, 2025 #7 kamarah said: Àcha kuaminisha umma matango pori, tafuta ratiba ya kampeni uone leo Kuna tukio gani!? Click to expand... Sasa si ndio umsaidie kujibu kwa kuweka iyo ratiba?
kamarah said: Àcha kuaminisha umma matango pori, tafuta ratiba ya kampeni uone leo Kuna tukio gani!? Click to expand... Sasa si ndio umsaidie kujibu kwa kuweka iyo ratiba?
Mabula Msirikale JF-Expert Member Joined Nov 29, 2022 Posts 1,060 Reaction score 2,303 Oct 6, 2025 #8 kamarah said: Àcha kuaminisha umma matango pori, tafuta ratiba ya kampeni uone leo Kuna tukio gani!? Click to expand... Jana Kampeni zilifanyika?
kamarah said: Àcha kuaminisha umma matango pori, tafuta ratiba ya kampeni uone leo Kuna tukio gani!? Click to expand... Jana Kampeni zilifanyika?
immortanity JF-Expert Member Joined Nov 8, 2024 Posts 859 Reaction score 1,583 Oct 6, 2025 #9 kamarah said: Àcha kuaminisha umma matango pori, tafuta ratiba ya kampeni uone leo Kuna tukio gani!? Click to expand... leo ratiba inaonyesha ilikuwa ni kampeni mapumziko ni tarehe nane dodoma
kamarah said: Àcha kuaminisha umma matango pori, tafuta ratiba ya kampeni uone leo Kuna tukio gani!? Click to expand... leo ratiba inaonyesha ilikuwa ni kampeni mapumziko ni tarehe nane dodoma
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,080 Reaction score 165,195 Oct 6, 2025 #10 Kasimu atoe lile jibu lake
M mangichogo JF-Expert Member Joined Oct 30, 2023 Posts 1,187 Reaction score 2,203 Oct 6, 2025 #11 Sikubaliani na watu wanaosema jeshi lichukue nchi. Jeshi linatakiwa kusitisha uchaguzi na kuakikisha reforms zinafanyika ndipo uchaguzi ufanyike
Sikubaliani na watu wanaosema jeshi lichukue nchi. Jeshi linatakiwa kusitisha uchaguzi na kuakikisha reforms zinafanyika ndipo uchaguzi ufanyike
Shammy- JF-Expert Member Joined Dec 2, 2022 Posts 7,176 Reaction score 18,841 Oct 6, 2025 #12 Mtoa mada unataka kusema je?
Mabula Msirikale JF-Expert Member Joined Nov 29, 2022 Posts 1,060 Reaction score 2,303 Oct 6, 2025 #13 drugdealer said: leo ratiba inaonyesha ilikuwa ni kampeni mapumziko ni tarehe nane dodoma Click to expand... Hata jana ilikua ni ratiba ya Kampeni Babati. Kimyaaaa
drugdealer said: leo ratiba inaonyesha ilikuwa ni kampeni mapumziko ni tarehe nane dodoma Click to expand... Hata jana ilikua ni ratiba ya Kampeni Babati. Kimyaaaa
Ponjoro wa Kinondoni JF-Expert Member Joined Jan 5, 2024 Posts 2,884 Reaction score 7,920 Oct 6, 2025 #14 Mungu wa mbinguni, tafadhali sikia kilio chetu, endelea kutunza uhai wa ndugu yetu Humphrey Polepole
Shammy- JF-Expert Member Joined Dec 2, 2022 Posts 7,176 Reaction score 18,841 Oct 6, 2025 #15 drugdealer said: leo ratiba inaonyesha ilikuwa ni kampeni mapumziko ni tarehe nane dodoma Click to expand... Hujawahi kuhairisha jambo ambalo umelipanga kutokana sababu fulani? Nyie waja nnataka kusikia nini? Hicho mnachotaka kitokee hakitatokea
drugdealer said: leo ratiba inaonyesha ilikuwa ni kampeni mapumziko ni tarehe nane dodoma Click to expand... Hujawahi kuhairisha jambo ambalo umelipanga kutokana sababu fulani? Nyie waja nnataka kusikia nini? Hicho mnachotaka kitokee hakitatokea
U UCD JF-Expert Member Joined Aug 17, 2012 Posts 10,419 Reaction score 7,433 Oct 6, 2025 #16 technically said: Samia yupo wapi na yu Hali gani? Kampeni zimesitishwa? Hakuna uchaguzi mwaka huu Bila reform tuliwaambia mkashupaza shingo Tuendelee kuwepo!! Click to expand... Kesho atakuwa Mwanza kama unataka kumwona utamwona kesho Mwanza.
technically said: Samia yupo wapi na yu Hali gani? Kampeni zimesitishwa? Hakuna uchaguzi mwaka huu Bila reform tuliwaambia mkashupaza shingo Tuendelee kuwepo!! Click to expand... Kesho atakuwa Mwanza kama unataka kumwona utamwona kesho Mwanza.
U Umsolopagaasi JF-Expert Member Joined Aug 16, 2014 Posts 940 Reaction score 962 Oct 6, 2025 #17 Mabula Msirikale said: Hata jana ilikua ni ratiba ya Kampeni Babati. Kimyaaaa Click to expand... duu nyie wapumbavu mno babat kamaliza juzi alimaliza kanda ya kaskazini
Mabula Msirikale said: Hata jana ilikua ni ratiba ya Kampeni Babati. Kimyaaaa Click to expand... duu nyie wapumbavu mno babat kamaliza juzi alimaliza kanda ya kaskazini
Tonny Kapola Gas Station JF-Expert Member Joined Aug 14, 2025 Posts 361 Reaction score 944 Oct 6, 2025 #18 Shammy- said: Hujawahi kuhairisha jambo ambalo umelipanga kutokana sababu fulani? Nyie waja nnataka kusikia nini? Hicho mnachotaka kitokee hakitatokea Click to expand... Na yeye ni binadamu tena over 60 na morbidly obese. Kitatokea tu. Ni suala la muda tu kwetu wanadamu...
Shammy- said: Hujawahi kuhairisha jambo ambalo umelipanga kutokana sababu fulani? Nyie waja nnataka kusikia nini? Hicho mnachotaka kitokee hakitatokea Click to expand... Na yeye ni binadamu tena over 60 na morbidly obese. Kitatokea tu. Ni suala la muda tu kwetu wanadamu...
Tonny Kapola Gas Station JF-Expert Member Joined Aug 14, 2025 Posts 361 Reaction score 944 Oct 6, 2025 #19 Shammy- said: Hujawahi kuhairisha jambo ambalo umelipanga kutokana sababu fulani? Nyie waja nnataka kusikia nini? Hicho mnachotaka kitokee hakitatokea Click to expand... Kuhairisha? 😳😳😳
Shammy- said: Hujawahi kuhairisha jambo ambalo umelipanga kutokana sababu fulani? Nyie waja nnataka kusikia nini? Hicho mnachotaka kitokee hakitatokea Click to expand... Kuhairisha? 😳😳😳
Shammy- JF-Expert Member Joined Dec 2, 2022 Posts 7,176 Reaction score 18,841 Oct 6, 2025 #20 Tonny Kapola Gas Station said: Na yeye ni binadamu tena over 60 na morbidly obese. Kitatokea tu. Ni suala la muda tu kwetu wanadamu... View attachment 3484462 Click to expand... Endelea kutiana ujinga
Tonny Kapola Gas Station said: Na yeye ni binadamu tena over 60 na morbidly obese. Kitatokea tu. Ni suala la muda tu kwetu wanadamu... View attachment 3484462 Click to expand... Endelea kutiana ujinga