Samia wamasai Wana ujumbe wako

Samia wamasai Wana ujumbe wako

Naunga Mkono Hoja 😊 Tokea lini Mzanzibari akaelewa mila na desturi za watanganyika? Hii ni sawa na kuvamia mtumbwi wa vibwengo yaani Sa100 ndo anafahamu Wamaasai wanataka nini kilicho bora!? Kizimkazi na Ngorongoro ni sehemu mbili tofauti kabsa
 
hivi kwanini wafuasi wa chadema wanachojua ni matusi tu, je ni malezi? madawa au ni nini hasa??

Ni afadhali ya hao wanaotoa maneno kjliko mashetani yaliyopo CCM ambayo hayajui chochote zaidi ya kuteka, kutesa na kuwaua wanaowakosoa.
 
Mbunge wa uko ameshasema bungeni kuwa mama samia hadaiwi chochote


Sema mbunge wa CCM ndiyo ameyasema hayo. Hakuna wananchi Tanzania wenye mbunge anayewawakilisha. Hayo matapeli yaliyopelekwa bungeni na CCM, na siyo wananchi, wewe unawaita ni wabunge wawakilishi wa wananchi?
 
Nimeona video huko TikTok watu wamechomeka vibaya ila vijana wa hapo hata kuzima moto wanaangalia tu.
 
Huu ndio ujumbe kwako kutoka kwa wamasai wa Arusha

View attachment 3388818
NO REFORMS NO ELECTION, Watanzania wanajua vyama vingine nje ya CHADEMA ni Mali ya CCM hivyo uchaguzi bila CHADEMA tafsiri yake ni kwamba CCM inasimama peke yake kwenye uchaguzi na kujipigia kura.NO REFORMS NO ELECTION Hesabu zetu tunazifungia hapo.
 
Wakumbushe suala la kuhamishwa halijaanza awamu hii,ilianza kipindi cha vijiji vya ujamaa!tuliokuwepo tulisombwa kama magunia yaani mnaenda kuachwa peupe tu huku nyumba zinavunjwa,sembuse nyie?yaani unavunjiwa nyumba ya miti unajengewa block then unasusa kisa mazingira!huu ni ujinga wa hali ya juu.najua kuhamishwa ngorongoro ndo chanzo cha hili povu!.
 
Back
Top Bottom