Samia sio malaika na Heche sio Shetani!

Samia sio malaika na Heche sio Shetani!

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,096
Reaction score
828,932
Ndugu Watanzania!
Tuna taarifa kuwa Jeshi la Polisi limemkamata Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. John Heche alipokwenda kuhutubia Kariakoo. Tumezungumza na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA (Bara) Mhe Amani Golugwa alisema kuwa wamefika vituo vyote vya Polisi katika Jiji waliambiwa hayupo katika vituo hivyo.

Kwanza tunapenda kueleza kusikitshwa kwetu kwa jinsi ubaguzi na unyanyasaji unavyozidi kukua katika nchi yetu kwa sababu za kuzuia mikutano ya CHADEMA Kariakoo hazina nguvu ya kisheria na pia hazina mashiko.

Soma Pia: John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo


Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam aliwahi pia kufika kuongea na wafanyabishara Kariakoo. Je, hiyo haikuwa ni kusumbua biashara bali ilikuwa ni habari njema ya malaika Gabrieli kwa Mariamu na Elizabeti? Waziri Mkuu aliwahi kufika Kariakoo pia. Je, Polisi hiyo haikuwa ni kuleta usumbufu katika eneo la biashara, bali ilikuwa ni kama habari ya uponyaji ya malaika Rafaeli kwa Tobia?

Rais Samia aliwahi pia kufika Kariakoo. Je, hiyo haikuwa ni kuleta usumbufu kwa biashara bali ilikuwa ni habari ya baraka kwao kama taarifa ya malaika Mikaeli kwa Danieli? Je, ujumbe wa John Heche hapo Kariakoo ni ujumbe kutoka kwa Lucifer, yule malaika mkuu wa uasi?

Sisi tunaona kuwa watawala wameamua kwa makusudi kutumia Jeshi la Polisi kunyanyasa wapinzani na kuwatisha watu. Hali hii kamwe haiwezi kuruhusiwa kuendelea. Ni lazima sisi sote tuungane kuikemea na tuwaseme watu hawa bila kuwaonea aibu na bila kuwaogopa!

Leo tukifumbia macho ubaguzi na unyanyasaji huo kufanywa kwa viongozi na wanasiasa, siku nyingine utahamia katika makundi mengine na hatimaye nchi yetu itakuwa imetumbukia katika lindi la matatizo. Kama Jeshi la polisi lilikuwa na sababu ya kisheria ya kumkamata kwa nini lisimpeleke moja kwa moja kituoni badala yake hisia zinatanda kuwa wako naye kwenye gari moja wanazunguka naye?

Tunatoa wito kwa Jeshi la Polisi kumuachia John Heche usiku huu bila masharti yeyote!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 22 Aprili 2025; saa 1:30 usiku
 
Ndugu Watanzania!
Tuna taarifa kuwa Jeshi la Polisi limemkamata Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. John Heche alipokwenda kuhutubia Kariakoo. Tumezungumza na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA (Bara) Mhe Amani Golugwa alisema kuwa wamefika vituo vyote vya Polisi katika Jiji waliambiwa hayupo katika vituo hivyo.

Kwanza tunapenda kueleza kusikitshwa kwetu kwa jinsi ubaguzi na unyanyasaji unavyozidi kukua katika nchi yetu kwa sababu za kuzuia mikutano ya CHADEMA Kariakoo hazina nguvu ya kisheria na pia hazina mashiko.

Soma Pia: John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam aliwahi pia kufika kuongea na wafanyabishara Kariakoo. Je, hiyo haikuwa ni kusumbua biashara bali ilikuwa ni habari njema ya malaika Gabrieli kwa Mariamu na Elizabeti? Waziri Mkuu aliwahi kufika Kariakoo pia. Je, Polisi hiyo haikuwa ni kuleta usumbufu katika eneo la biashara, bali ilikuwa ni kama habari ya uponyaji ya malaika Rafaeli kwa Tobia?

Rais Samia aliwahi pia kufika Kariakoo. Je, hiyo haikuwa ni kuleta usumbufu kwa biashara bali ilikuwa ni habari ya baraka kwao kama taarifa ya malaika Mikaeli kwa Danieli? Je, ujumbe wa John Heche hapo Kariakoo ni ujumbe kutoka kwa Lucifer, yule malaika mkuu wa uasi?

Sisi tunaona kuwa watawala wameamua kwa makusudi kutumia Jeshi la Polisi kunyanyasa wapinzani na kuwatisha watu. Hali hii kamwe haiwezi kuruhusiwa kuendelea. Ni lazima sisi sote tuungane kuikemea na tuwaseme watu hawa bila kuwaonea aibu na bila kuwaogopa!

Leo tukifumbia macho ubaguzi na unyanyasaji huo kufanywa kwa viongozi na wanasiasa, siku nyingine utahamia katika makundi mengine na hatimaye nchi yetu itakuwa imetumbukia katika lindi la matatizo. Kama Jeshi la polisi lilikuwa na sababu ya kisheria ya kumkamata kwa nini lisimpeleke moja kwa moja kituoni badala yake hisia zinatanda kuwa wako naye kwenye gari moja wanazunguka naye?

Tunatoa wito kwa Jeshi la Polisi kumuachia John Heche usiku huu bila masharti yeyote!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 22 Aprili 2025; saa 1:30 usiku
View attachment 3312493
Sioni tofauti yao. Heri Heche hajatuzingua na kufuga chawa
 
TUENDELEE KUSIMAMA IMARA – NO REFORMS, NO ELECTION


Katika kipindi hiki cha misukosuko ya kisiasa, ni muhimu kutambua kuwa:
Demokrasia ya kweli hujengwa kwa misingi ya haki, usawa, na maboresho ya wazi.


Kukamatwa kwa viongozi kama Tundu Lissu na John Heche si tukio la kawaida—ni dalili ya mfumo usio wa haki unaohitaji mageuzi ya haraka.


Tanzania haihitaji uchaguzi wa majina, bali uchaguzi wa maamuzi.


Ndiyo maana tunasema:
Hakuna uchaguzi bila maboresho – No Reforms, No Election.


Tunaamini katika:



  • Tume huru ya uchaguzi
  • Uhuru wa vyama vya siasa na wananchi
  • Haki ya kukusanyika na kutoa maoni
  • Mazingira salama kwa wagombea na wapiga kura

Sauti ya umma haizuiliki.
Tusimame kwa pamoja, kwa amani lakini kwa msimamo usiotingishika.


#NoReformsNoElection
#DemokrasiaNiHaki
#AmaniNaHaki
#SimamaNaUhuru
#Tanzania2025
 
1 Wafalme 19:2 Ndipo yezebeli akampelekea eliya mjumbe, kusema, miungu wanifanyie hivyo na kuzidi, nosipokufanya roho Yako kesho panapo wakati kama huu, kama roho ya Moja wapo hao.

Huyu mwanamke tofauti yake na yezebeli ni Nini!!
 
Ndugu Watanzania!
Tuna taarifa kuwa Jeshi la Polisi limemkamata Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. John Heche alipokwenda kuhutubia Kariakoo. Tumezungumza na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA (Bara) Mhe Amani Golugwa alisema kuwa wamefika vituo vyote vya Polisi katika Jiji waliambiwa hayupo katika vituo hivyo.

Kwanza tunapenda kueleza kusikitshwa kwetu kwa jinsi ubaguzi na unyanyasaji unavyozidi kukua katika nchi yetu kwa sababu za kuzuia mikutano ya CHADEMA Kariakoo hazina nguvu ya kisheria na pia hazina mashiko.

Soma Pia: John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam aliwahi pia kufika kuongea na wafanyabishara Kariakoo. Je, hiyo haikuwa ni kusumbua biashara bali ilikuwa ni habari njema ya malaika Gabrieli kwa Mariamu na Elizabeti? Waziri Mkuu aliwahi kufika Kariakoo pia. Je, Polisi hiyo haikuwa ni kuleta usumbufu katika eneo la biashara, bali ilikuwa ni kama habari ya uponyaji ya malaika Rafaeli kwa Tobia?

Rais Samia aliwahi pia kufika Kariakoo. Je, hiyo haikuwa ni kuleta usumbufu kwa biashara bali ilikuwa ni habari ya baraka kwao kama taarifa ya malaika Mikaeli kwa Danieli? Je, ujumbe wa John Heche hapo Kariakoo ni ujumbe kutoka kwa Lucifer, yule malaika mkuu wa uasi?

Sisi tunaona kuwa watawala wameamua kwa makusudi kutumia Jeshi la Polisi kunyanyasa wapinzani na kuwatisha watu. Hali hii kamwe haiwezi kuruhusiwa kuendelea. Ni lazima sisi sote tuungane kuikemea na tuwaseme watu hawa bila kuwaonea aibu na bila kuwaogopa!

Leo tukifumbia macho ubaguzi na unyanyasaji huo kufanywa kwa viongozi na wanasiasa, siku nyingine utahamia katika makundi mengine na hatimaye nchi yetu itakuwa imetumbukia katika lindi la matatizo. Kama Jeshi la polisi lilikuwa na sababu ya kisheria ya kumkamata kwa nini lisimpeleke moja kwa moja kituoni badala yake hisia zinatanda kuwa wako naye kwenye gari moja wanazunguka naye?

Tunatoa wito kwa Jeshi la Polisi kumuachia John Heche usiku huu bila masharti yeyote!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 22 Aprili 2025; saa 1:30 usiku
View attachment 3312493
uropokaji na mikusanyiko ya vibaka na wezi waliojificha nyuma ya siasa kwenye maeneo ya kimkakati ya kiuchumi nchini, kama vile kwenye masoko n.k yapigwe marufuku mara moja,

na hiyo upuuzi haikubaliki na wala haivumiliki nchini,

akivuta bangi zake akaropokee na kuleta fujo kwenye famila yake Tarime na siao kusumbua waTanzania :NoGodNo:
 
Ndugu Watanzania!
Tuna taarifa kuwa Jeshi la Polisi limemkamata Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. John Heche alipokwenda kuhutubia Kariakoo. Tumezungumza na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA (Bara) Mhe Amani Golugwa alisema kuwa wamefika vituo vyote vya Polisi katika Jiji waliambiwa hayupo katika vituo hivyo.

Kwanza tunapenda kueleza kusikitshwa kwetu kwa jinsi ubaguzi na unyanyasaji unavyozidi kukua katika nchi yetu kwa sababu za kuzuia mikutano ya CHADEMA Kariakoo hazina nguvu ya kisheria na pia hazina mashiko.

Soma Pia: John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam aliwahi pia kufika kuongea na wafanyabishara Kariakoo. Je, hiyo haikuwa ni kusumbua biashara bali ilikuwa ni habari njema ya malaika Gabrieli kwa Mariamu na Elizabeti? Waziri Mkuu aliwahi kufika Kariakoo pia. Je, Polisi hiyo haikuwa ni kuleta usumbufu katika eneo la biashara, bali ilikuwa ni kama habari ya uponyaji ya malaika Rafaeli kwa Tobia?

Rais Samia aliwahi pia kufika Kariakoo. Je, hiyo haikuwa ni kuleta usumbufu kwa biashara bali ilikuwa ni habari ya baraka kwao kama taarifa ya malaika Mikaeli kwa Danieli? Je, ujumbe wa John Heche hapo Kariakoo ni ujumbe kutoka kwa Lucifer, yule malaika mkuu wa uasi?

Sisi tunaona kuwa watawala wameamua kwa makusudi kutumia Jeshi la Polisi kunyanyasa wapinzani na kuwatisha watu. Hali hii kamwe haiwezi kuruhusiwa kuendelea. Ni lazima sisi sote tuungane kuikemea na tuwaseme watu hawa bila kuwaonea aibu na bila kuwaogopa!

Leo tukifumbia macho ubaguzi na unyanyasaji huo kufanywa kwa viongozi na wanasiasa, siku nyingine utahamia katika makundi mengine na hatimaye nchi yetu itakuwa imetumbukia katika lindi la matatizo. Kama Jeshi la polisi lilikuwa na sababu ya kisheria ya kumkamata kwa nini lisimpeleke moja kwa moja kituoni badala yake hisia zinatanda kuwa wako naye kwenye gari moja wanazunguka naye?

Tunatoa wito kwa Jeshi la Polisi kumuachia John Heche usiku huu bila masharti yeyote!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 22 Aprili 2025; saa 1:30 usiku
View attachment 3312493
Polisi wanazidi kumharibia Samia kwa makusudi kabisa huku mwenyewe akichekelea akiamini wanamsaidia.
 
1 Wafalme 19:2 Ndipo yezebeli akampelekea eliya mjumbe, kusema, miungu wanifanyie hivyo na kuzidi, nosipokufanya roho Yako kesho panapo wakati kama huu, kama roho ya Moja wapo hao.

Huyu mwanamke tofauti yake na yezebeli ni Nini!!
Hakuna tofauti,nauona mwisho wake ukiwa mbaya na wa fedheha kubwa.
 
uropokaji na mikusanyiko ya vibaka na wezi waliojificha nyuma ya siasa kwenye maeneo ya kimkakati ya kiuchumi nchini, kama vile kwenye masoko n.k yapigwe marufuku mara moja,

na hiyo upuuzi haikubaliki na wala haivumiliki nchini,

akivuta bangi zake akaropokee na kuleta fujo kwenye famila yake Tarime na siao kusumbua waTanzania :NoGodNo:
Pumbavu sana wewe!
 
TUENDELEE KUSIMAMA IMARA – NO REFORMS, NO ELECTION


Katika kipindi hiki cha misukosuko ya kisiasa, ni muhimu kutambua kuwa:
Demokrasia ya kweli hujengwa kwa misingi ya haki, usawa, na maboresho ya wazi.


Kukamatwa kwa viongozi kama Tundu Lissu na John Heche si tukio la kawaida—ni dalili ya mfumo usio wa haki unaohitaji mageuzi ya haraka.


Tanzania haihitaji uchaguzi wa majina, bali uchaguzi wa maamuzi.


Ndiyo maana tunasema:
Hakuna uchaguzi bila maboresho – No Reforms, No Election.


Tunaamini katika:



  • Tume huru ya uchaguzi
  • Uhuru wa vyama vya siasa na wananchi
  • Haki ya kukusanyika na kutoa maoni
  • Mazingira salama kwa wagombea na wapiga kura

Sauti ya umma haizuiliki.
Tusimame kwa pamoja, kwa amani lakini kwa msimamo usiotingishika.


#NoReformsNoElection
#DemokrasiaNiHaki
#AmaniNaHaki
#SimamaNaUhuru
#Tanzania2025
Mazuzu ktk ubora wao, nani kima wa kuzuia uchaguzi?
 
Back
Top Bottom