Samia: Serikali ya Dk. Magufuli itanunua meli tano

Samia: Serikali ya Dk. Magufuli itanunua meli tano

Kwa hiyo watu wa Bukoba wamechinjiwa ziwani,,, JK aliahidi meli kubwa kuliko Mv Bukoba amemaliza miaka 10 haipo na katika alizotaja huyo mama watu wa BK WAMEKATWAAAA
 
ahadi zimezidi nyingi jmn...sasaa mungekuwa munawapandisha wasanii watuburudishe tuu live na bure. kila siku maneno hayo hayo tuu hakuna jipya
 
Meli mbovu chakavu kwa makumi ya billioni...
 
Hiyo milioni moja imetoka wapi tena? Si walisema 50m kila kijiji? Sasa wameshuka bei tena? Hawa jamaa hawakujiandaa kuongoza hii nchi na yatakuwa makosa makubwa sana kuwapa watu waliokuwa wamelenga ubunge na hatimaye uwaziri!

Jamani eeeeeh! Kura zite kwa Lowassa!
 
walikuwa wakisema nchi haina hela, sasa hii hela ya hizo ahadi zilizoahidiwa zitapatikana wapi?

zitapatikana tu,uwe na subira,,,kama wameweza kujenga daraja kigamboni na bomba la gesi,hata hili watafanikiwa tu,,maendeleo hayaji kwa siku moja,,hata bakhresa kaanzia kuuza kahawa,maandazi na kashata..
 
"Ilani ya CCM inaeleza kwamba itatenga Sh. 1,000,000 katika kila kijiji cha Mafia ili kuwawezesha wananchi wake kununua vyombo vikubwa vya uvuvi"

cdhani kama milioni moja inatosha kutengeneza jahazi... huyo mama hata hisabati ya shule ya msingi inampga chenga,,, chombo cha kisasa cha milion moja kwa kijiji kimoja... tumuogope mungu kwa uongo huu
mtakatifu
 
zitapatikana tu,uwe na subira,,,kama wameweza kujenga daraja kigamboni na bomba la gesi,hata hili watafanikiwa tu,,maendeleo hayaji kwa siku moja,,hata bakhresa kaanzia kuuza kahawa,maandazi na kashata..

Hata huku jf unawapata malofa na wapumbavu wa kuwadanganya au ni mambo ya kutete ujira wako hapa?
 
Anunue meli 5 mbovu kama hile ya bagamoyo mbovu imekufa wameipark tu na ndio akanunue meli zingine mbovu pia labda kama anasemea ngalawa na sio meli
 
Duh! Hiyo ya shilling million moja kununa vyombo vya uvuvi vya kisasa ni mabeseni na mabakuli au ni vyombo gani?
Na hapo wananchi walipiga makofi na vigelegele hatari.
 
walikuwa wakisema nchi haina hela, sasa hii hela ya hizo ahadi zilizoahidiwa zitapatikana wapi?

Hii siyo nchi ya Wadanganyika tena. Mwaka 2010 Kikwete aliahidi kununua meli kwa kila ziwa. Leo hii anaondoka madarakani hajanunua hata meli Moja. Kweli CCM ni ile ile ooh ni ile ile.... Lazima tuwaondoe Hawa wadanganyifu mwaka huu.
 
Huyu mama kila anakopita anamwaga ahadi kama hana akili nzuri,JK cha mtoto kwake
 
Huyu mama kila anakopita anamwaga ahadi kama hana akili nzuri,JK cha mtoto kwake
Kilimo cha umwagiliaji cha ubuyu 😂😂😂😂😂😅😅😅😄
 
Huyu anayeondoka aliahidi meli ziwa Victoria hadi leo anaondoka hata hiyo screpa kama MV Dar es Salaam imemshinda!
 
Ccm bado watu wanafikilia vile vile , kuingia ikulu lazima wajue there is a price to pay
 
Kwa hiyo watu wa Bukoba wamechinjiwa ziwani,,, JK aliahidi meli kubwa kuliko Mv Bukoba amemaliza miaka 10 haipo na katika alizotaja huyo mama watu wa BK WAMEKATWAAAA

Wakati ile escrow waliyogawana ingetosha kabisa kutatua shida ya meli iliyopo, lakini Kikwete pale Diamond Jubilee akasema ni visent tu. Haki ya nani ni heri kama ni kudanganywa nidanganywe ni mtu mwingine kuliko kudanganywa tena na mtu yule yule ccm
 
Back
Top Bottom