SI KWELI Samia; nimekiri nimekosea

SI KWELI Samia; nimekiri nimekosea

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Source #1
View Source #1
kuna uvumi wa taarifa inayosambaa kuwa Rais Samia Suluhu Hassan akiri kuwa amekosea . Je taarifa hii ni ya kweli ama ni uzushi?

1786008555479.png
 
Tunachokijua
Kupitia mitandao ya kijamii kumekuwa na Poster yenye ujumbe unaodai kuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan "Nimekiri nimewakosea".

JamiiCheck imefuatilia na kubaini kuwa taarifa hiyo ama nukuu hiyo si ya kweli bali ni ya kubuni tu. Ufuatiliaji kwa njia ya mtandao umebaini kuwa Taarifa hiyo haijachapishwa na chanzo chochote kila cha kuaminika.

Baadhiya watumiaji waliochapisha poster hiyo hawajaweka maelezo ya ziadia kuonesha ni lini na wapi kiongozi huyo aliyazungumza maneno hayo kwa ajili ya rejea.

Aidha poster yenye utambulisho huo imekuwa ikichapisha mara kadhaa taarifa ama nukuu ambazo si za kweli bali za kubuni kwa ajili ya kutimiza azma yao.
Nimekiri nimewakose(a)a...
Huo ni uandishi wa kidaku
 
Tu subiri ukweli wa haya maelezo.

Ila kama ana soul anaju fika she messed up.

Watanzania kawaburuza sana
Na,hakukuwa na sababu zenye nguvu wala mashiko hadi akafanya maovu hayo.Aliongozwa/anaongozwa na kiburi ambacho kinamfanya ajute maisha yake yote.
 
Na,hakukuwa na sababu zenye nguvu wala mashiko hadi akafanya maovu hayo.Aliongozwa/anaongozwa na kiburi ambacho kinamfanya ajute maisha yake yote.
Mwanadamu huishi kwa ego...

Ila ikiptiliza inakuwa unaiumiza nafsi yako nafsi ikifa unakuwa kama mzoga anaye tembea tu.

The mass killings that happened will haunt her, her whole life...

Kuna muda atabaki peke yake na huu ukweli utamuwonda atakosa PA kutokea
 
Mwanadamu huishi kwa ego...

Ila ikiptiliza inakuwa unaiumiza nafsi yako nafsi ikifa unakuwa kama mzoga anaye tembea tu.

The mass killings that happened will haunt her, her whole life...

Kuna muda atabaki peke yake na huu ukweli utamuwonda atakosa PA kutokea
Kama kuna wahuni walimshauri kuua na akakubali tu bila kujiuliza/kusitasita,basi walimuweza kwelikweli.Lakini,kwa nini mtu mzima mwenye akili njema/timamu ushauriwe upuuziupuuzi na kukubali?
 
Kama kuna wahuni walimshauri kuua na akakubali tu bila kujiuliza/kusitasita,basi walimuweza kwelikweli.Lakini,kwa nini mtu mzima mwenye akili njema/timamu ushauriwe upuuziupuuzi na kukubali?
Matakwa binafsi..
Tamaa ya madaraka

Na kingine mwanamke akipata nguvu na asiwe na hekima hugeuka kuwa shetani
 
Vipi kama walimblackmail?. Just thinking 🤔
Hiyo itachekesha zaidi kwa kicheko cha kushangaza.Rais na Urais ni taasisi yenye macho mengi yaonayo hadi keshokutwa,mikono mingi inayokamata hadi upepo,miguu mingi yenye miendo ya ainaaina na mikogo,mbongo njema zaidi na maono makali yapenyayo hadi mbingu ya tisa.Sasa, taasisi hiyo nyeti aidha kuwa "blackmailed","doublecrossed" au "played a fool" ni dhihirisho tosha la kutotosha na kutokufaa kuongoza/kuwepo kabisa.
 
Back
Top Bottom