Samia na mapokezi kazini

Samia na mapokezi kazini

PendoLyimo

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2014
Posts
1,059
Reaction score
1,133
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokelewa na Watumishi wa Ofisi ya Rais, Ikulu alipowasili Ikulu ya Chamwino, Dodoma mara baada ya kuapishwa.
IMG-20251104-WA0011.jpg
IMG-20251104-WA0008.jpg
IMG-20251104-WA0012.jpg
IMG-20251104-WA0013.jpg
IMG-20251104-WA0010.jpg
 
Mbona hakuna jipya hapo. Watu wengine sijui huwa akili zenu ziko wapi
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokelewa na Watumishi wa Ofisi ya Rais, Ikulu alipowasili Ikulu ya Chamwino, Dodoma mara baada ya kuapishwa.
Won't last 4ever
 
Umeona ninanuka damu za watu hapa nilipo kama ilivyo kwenu nyinyi mashetani?
Tatizo mnaacha kiini ...kwani aliyeanzisha ni nani? Waliokufa wasingeenda kuchoma miundombinu na kustorm Mali za watu Leo wangekuwa hai kama wewe hapo ( maana najua hukuthubutu kuandamana live tofauti na kuandamana kwenye keyboard )
 
Atakuja kufa kifo kibaya sana huyo shetani wenu. Roho zote alizoziondoa hapa duniani kwa uonevu na ukatili mkubwa, zitakuwa zinamlilia tu kwenye kila kona wa kaburi lake.
Roho gani kaziondoa?..mkapa aliondoa roho ngapi mwembechai na pemba?..magu aliondoa roho ngapi?..walikufa vibaya?
 
Tatizo mnaacha kiini ...kwani aliyeanzisha ni nani? Waliokufa wasingeenda kuchoma miundombinu na kustorm Mali za watu Leo wangekuwa hai kama wewe hapo ( maana najua hukuthubutu kuandamana live tofauti na kuandamana kwenye keyboard )
Unauliza eti ...kwani aliyeanzisha ni nani? Wakati mnakandamiza haki za raia, mlitegemea wataendelea kuwaogopa na kuwachekea tu miaka yote siyo?
 
Unauliza eti ...kwani aliyeanzisha ni nani? Wakati mnakandamiza haki za raia, mlitegemea wataendelea kuwaogopa na kuwachekea tu miaka yote siyo?
Unajua maisha ya wanaokandamizwa Hali zao wewe? Tuliowahi kwenda nchi zenye ukandamizwaji mkubwa WA haki. Tunasema Tanzania tunaishi Kwa Amani mno! Au ulitaka serikali ije ikuletee ridhiki nyumbani kwako?
Duniani pote hakuna nchi inavumilia wale wanaoashilia kuleta machafuko, japo wewe kama raia wamekufeed wrong info ukajaa. Wewe unadhani serikali inaanza Tu kuteka raia mwema? Mbona wewe hujatekwa ? Ujaribu kuvuruga Amani wakuache Tu? Ona sasa vijana wadogo bila kufikiria wamemsikiliza Mange and co. Wamelambishwa mchanga
Hivi ninavyoongea kuna mdogo wangu kapigwa risasi kwenye haya maandamano nimemsomesha mpaka form four akapata zero akawa anashinda na vikundi vya kutumia mihadarati et. Anaenda kukomboa nchi.
 
Picha ya mwisho kabisa huyo jamaa kutoka huyo dada, ukiangalia uso wake unaona makofi yale ni ya kulinda ugali, yeye kashindwa hata kuweka tabasamu la kinafiki.

Mama ana roho ngumu huyu, kama hakuna kilichotokea vile, huo ushungi ni wa bure tu
 
Tatizo mnaacha kiini ...kwani aliyeanzisha ni nani? Waliokufa wasingeenda kuchoma miundombinu na kustorm Mali za watu Leo wangekuwa hai kama wewe hapo ( maana najua hukuthubutu kuandamana live tofauti na kuandamana kwenye keyboard )
Waliopigwa risasi majumbani mwao, na wale vijana waliokuwa wanaangalia mechi ya Arsenal kibanda cha mpira na kupigwa risasi je walichoma miundo mbinu ipi?


-
💔Hatuwajui wote kwa majina, lakini tunawajua kwa uzito wa kilichotokea. Amani iwe juu yao.🙏
 
Back
Top Bottom