The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 8,550
- 20,342
GT
Hali ya sasa nchini tanganyika kwa ukatili samia inasikitisha hata Magufuli hakuwa na moyo mbaya kiasi hiki juu ya uhai na maisha ya watu.
Sasa tunajiuliza anaongoza ili iweje kama hata uhai wa wale anaowaongoza haudhamini. Yupo pale kwa ajii ya nini? Kifupi katangaza vita upya na raia akina Mwigulu na Nanauka walianza kama janja janja tu ila picha halisi tumeiona .
Samia kajiandaa kuua ili abaki madarakani kwa gharama yoyote ile na hajali na hatishiwi maana vyombo vya ulinzi.na vya maamuzi kama mahakama na bunge vyote kavitia mfukoni mwake.
Kujua unyama wa Samia rejea kauli hizi.
1. Kifo cha kibao na wengine alisema ni drama akaenda mbali zaidi na kusema kifo ni kifo tu moyo wake umejaa kutu huyu dikteta
2.Kipindi chote mauaji na utesaji vinaendelea hakuwahi kutoka na kukemea lolote tofauti na mtangulizi wake.
3. Askofu Gwajima alitoka kukemea utesaji na uuaji akanyimwa ubunge na kanisa lake likafungwa wtf. Means mauaji yaendelee watu wakae kimya?
4.Watu wote waliopinga mauaji kama akina Polepole na kitima wametendewa vibaya sana.
5. Kilio kikubwa cha TEC awamu hii pamoja na mambo mengine ni uuaji na utekaji lakini mmeona majibu yake. Kwamba wasiipangie serikali nini cha kufanya..
6. Samia kipindi chote cha kampeni hakuwahi kutaja wala kukemea neno utekaji popote siku zote 60 akizunguka Tanzania. Akiitwa dikteta mama wala watu hawakosei.
7. Watu wameuawa October 29 lakini majibu yake ni kwamba hao walistahili adhabu hiyo na wala hajutii hayo mauaji maana wengine wameuawa majumbani kwao.
HITIMISHO
1. Nchi haina raisi hata wasaidizi wanamwogopa hawataki kumwambia ukweli na wengine wanamdanya.
2. GenZ na watanzania wote tujitetee wenyewe hakuna mtendaji wa serikali hii anyejari maisha na uhai wetu.
3. Hao wabunge na mawaziri wa kujiteua na watendaji wote wa serikali hii haramu tutuwawajibisha hukuhuku chini..
4.Tuwawajibishe wanufaika wa serikali hii haramu kama wasanii, wafanyabiashara wakubwa na vilabu vya mpira kwa kususia huduma zao.
5. Rasmi jsehi ni mateka wa serikali maisha yetu hayana maana kwao tupo hatarini kuliko wakati wowote ule.
6. Kwa sasa Tanzania kiusalama ni mbaya sana kwa wazalendo na wakosoaji wa serikali kama mtu uko nje ya Tanzania na kama una upenyo wa kutoka nchini kwa sasa fanya haraka sana.
7. Uchumi wetu unaenda kuporomoka mfuko wa bei nauona kiufupi maisha magumu na hapatakuwa na miradi.ya maana kwa sasabu serikali inatumia mda mwingi kugombana na watu.
8.Duniani kote kwa sasa hakuna raisi mwenye roho mbaya na mwenye kututumia malaka yake vibaya kama Samia anahitaji kutangazwa DIKTETA na mataifa
#Mungu ibariki Tanganyika#.
Hali ya sasa nchini tanganyika kwa ukatili samia inasikitisha hata Magufuli hakuwa na moyo mbaya kiasi hiki juu ya uhai na maisha ya watu.
Sasa tunajiuliza anaongoza ili iweje kama hata uhai wa wale anaowaongoza haudhamini. Yupo pale kwa ajii ya nini? Kifupi katangaza vita upya na raia akina Mwigulu na Nanauka walianza kama janja janja tu ila picha halisi tumeiona .
Samia kajiandaa kuua ili abaki madarakani kwa gharama yoyote ile na hajali na hatishiwi maana vyombo vya ulinzi.na vya maamuzi kama mahakama na bunge vyote kavitia mfukoni mwake.
Kujua unyama wa Samia rejea kauli hizi.
1. Kifo cha kibao na wengine alisema ni drama akaenda mbali zaidi na kusema kifo ni kifo tu moyo wake umejaa kutu huyu dikteta
2.Kipindi chote mauaji na utesaji vinaendelea hakuwahi kutoka na kukemea lolote tofauti na mtangulizi wake.
3. Askofu Gwajima alitoka kukemea utesaji na uuaji akanyimwa ubunge na kanisa lake likafungwa wtf. Means mauaji yaendelee watu wakae kimya?
4.Watu wote waliopinga mauaji kama akina Polepole na kitima wametendewa vibaya sana.
5. Kilio kikubwa cha TEC awamu hii pamoja na mambo mengine ni uuaji na utekaji lakini mmeona majibu yake. Kwamba wasiipangie serikali nini cha kufanya..
6. Samia kipindi chote cha kampeni hakuwahi kutaja wala kukemea neno utekaji popote siku zote 60 akizunguka Tanzania. Akiitwa dikteta mama wala watu hawakosei.
7. Watu wameuawa October 29 lakini majibu yake ni kwamba hao walistahili adhabu hiyo na wala hajutii hayo mauaji maana wengine wameuawa majumbani kwao.
HITIMISHO
1. Nchi haina raisi hata wasaidizi wanamwogopa hawataki kumwambia ukweli na wengine wanamdanya.
2. GenZ na watanzania wote tujitetee wenyewe hakuna mtendaji wa serikali hii anyejari maisha na uhai wetu.
3. Hao wabunge na mawaziri wa kujiteua na watendaji wote wa serikali hii haramu tutuwawajibisha hukuhuku chini..
4.Tuwawajibishe wanufaika wa serikali hii haramu kama wasanii, wafanyabiashara wakubwa na vilabu vya mpira kwa kususia huduma zao.
5. Rasmi jsehi ni mateka wa serikali maisha yetu hayana maana kwao tupo hatarini kuliko wakati wowote ule.
6. Kwa sasa Tanzania kiusalama ni mbaya sana kwa wazalendo na wakosoaji wa serikali kama mtu uko nje ya Tanzania na kama una upenyo wa kutoka nchini kwa sasa fanya haraka sana.
7. Uchumi wetu unaenda kuporomoka mfuko wa bei nauona kiufupi maisha magumu na hapatakuwa na miradi.ya maana kwa sasabu serikali inatumia mda mwingi kugombana na watu.
8.Duniani kote kwa sasa hakuna raisi mwenye roho mbaya na mwenye kututumia malaka yake vibaya kama Samia anahitaji kutangazwa DIKTETA na mataifa
#Mungu ibariki Tanganyika#.