Do you think she's alone? anyway, jua kua Africa hakuna kiongozi anaye admit makosa na kuwa responsible sio yeye TU ni Africa nzima, justice system Iko mbovu na ndio kitu kinaniumiza kabisa pindi mahakama zinapovurugwa uwajibikaji na uongozi ni sufuri hamna kitu, Assume tungekuwa na mahakama ambayo kosa alilofanya ni kunyongwa na mahakama zetu Tena za ndani tukawa na majaji imara ambao wanajisimamia wenyewe bila political influence what would have happened? Simple asingetoa amri aliyotoa kwasababu angejua nini kinafuata.
Katiba kuweka mihimiri mi3 maana yake ilitaka uwajibikaji inapofikia situations kama hizo lakini Kwa muktdha huu hatuwezi kusonga mbele kila raisi atakua anakuja na blanda lake maisha yanaendelea assume bunge lingekua smart na kuwapa power wananchi waliolichagua ambao ni wengi nani angeuza bandari? Dhahabu,? Kununua ndege 11+? Gesi? Miradi yenye gharama ziszo halisi? Haya yote Kama una bunge na mahakama huru kiukweli hakuna mjinga mmoja angethubutu mfano china hakuna anaye tempa na mali ya umma kwasababu anajua kitanzi ni halali yake.