Samia anatukumbusha msemo wa 'A real warrior never quit'

Samia anatukumbusha msemo wa 'A real warrior never quit'

She teach us one lesson.

A real or legend warrior never quits, no matter what happens.

Japo uongozi wake una dosari nyingi lakini misimamo yake. I will take it as a lesson to learning in life
Hata majambazi na mafisadi sugu wanaitwa sugu kwa sababu ya misimamo yao ya kihalifu...hoja siyo misimamo wowote ...maana hata WAPUMBAVU wana misimamo
 
She teach us one lesson.

A real or legend warrior never quits, no matter what happens.

Japo uongozi wake una dosari nyingi lakini misimamo yake. I will take it as a lesson to learning in life
Hata shetani mpaka Leo anapambana na utawala wa haki
Kwa hiyo inategemea aina worrior uliyochagua
 
Common law inaonyesha kuwa kama ukiiba bank utapigwa risasi, ukivamia kituo cha polisi utapigwa risasi na kufa, ukiiba nyumbani kwa mtu utapigwa risasi na mwenyenyumba anaemiliki silaha au kama anafuga mbwa atamuamrisha akung'ate mpaka kufa kama ikibidi, na kama ukifumaniwa ukimla mke wa mtu unaweza kuuliwa kwa njia yoyote ile. Haiwezekani uende ukaibe bank, uchome moto vituo vya polisi, majengo ya serikali, TRA, mwendokasi, sheli, nyumba za watu halafu uwe hai. Wewe nani bana we? tusiwadanganye vijana wafanye vitendo hivyo halafu wategemee kuwa hai.
Swali langu ni moja tu, ingetokea wale wahuni wakaingia ikulu na kutangaza kuichukua serikali ya JMT tungesikia hizi kelele za Rais SSH kushtakiwa kule ICC?.
 
Ngumu kumeza? JF home of great thinkers. Jipange vizuri wakati ukiandika. Sisi makobadhi ni madrasa tu. Usiingie kichwakichwa kwa maneno ya madhabahuni. Tumia akili yako ya kuzaliwa.
 
Do you think she's alone? anyway, jua kua Africa hakuna kiongozi anaye admit makosa na kuwa responsible sio yeye TU ni Africa nzima, justice system Iko mbovu na ndio kitu kinaniumiza kabisa pindi mahakama zinapovurugwa uwajibikaji na uongozi ni sufuri hamna kitu, Assume tungekuwa na mahakama ambayo kosa alilofanya ni kunyongwa na mahakama zetu Tena za ndani tukawa na majaji imara ambao wanajisimamia wenyewe bila political influence what would have happened? Simple asingetoa amri aliyotoa kwasababu angejua nini kinafuata.

Katiba kuweka mihimiri mi3 maana yake ilitaka uwajibikaji inapofikia situations kama hizo lakini Kwa muktdha huu hatuwezi kusonga mbele kila raisi atakua anakuja na blanda lake maisha yanaendelea assume bunge lingekua smart na kuwapa power wananchi waliolichagua ambao ni wengi nani angeuza bandari? Dhahabu,? Kununua ndege 11+? Gesi? Miradi yenye gharama ziszo halisi? Haya yote Kama una bunge na mahakama huru kiukweli hakuna mjinga mmoja angethubutu mfano china hakuna anaye tempa na mali ya umma kwasababu anajua kitanzi ni halali yake.
Naamini hata nyumbani kwenu wazazi wako huwa wanafanya makosa. Kuna siku waliwahi kuomba msamaha?

Sasa ile picha ya wazazi wako ile kwa wanasiasa, nao wanapita njia ile ile ya namna familia nyingi za kiafrika zilivyo.
 
Back
Top Bottom