Samia akimteua Tulia Waziri Mkuu tutafanyaje?

Samia akimteua Tulia Waziri Mkuu tutafanyaje?

The Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
10,968
Reaction score
13,439
Kichwa cha habari kiko wazi. Kwa unyama alioonyesha Samia ambaye wengi walihadaika kuwa ni mwamamke angekuwa gentle, akimteua Tulia asiyetulia mwanamke mwenzake itakuwaje?

Je, watanzania watamkubali au kumfurusha?
 
Kichwa cha habari kiko wazi. Kwa unyama alioonyesha Samia ambaye wengi walihadaika kuwa ni mwamamke angekuwa gentle, akimteua Tulia asiyetulia mwanamke mwenzake itakuwaje?

Je, watanzania watamkubali au kumfurusha?
Huyu Tulia aliye ficha ripoti za cag na ripoti za itel kuagiza sukari na video na kutekwa Kwa watu au mwingine.
 
Wacha wateuane tu, wakitaka na KUTENGUANA watenguane hadi VIUNO.
 
Who cares majizi ya kura yakiteuana? Wote ni wezi na wauaji wakubwa
 
Back
Top Bottom