Unafikiri yanajali sasa, sanasana utayakuta yapo ubaoni yanaimba "Yatapita" ya Diamond.... huku wengine wakipiga Radio call kusikilizishana hilo song kwa kufarijiana!!!
Unafikiri yanajali sasa, sanasana utayakuta yapo ubaoni yanaimba "Yatapita" ya Diamond.... huku wengine wakipiga Radio call kusikilizishana hilo song kwa kufarijiana!!!
Yaani imenena sawa.
Comrade Kinana alitoa ushairi trafiki mjini wapungue barabarani. Wakatii kwa muda mfupi sana.
Sasa wamerudi kama Mbogo alie jeruhiwa.
Kama Arusha utadhani askari wote wana vaa nguo nyeupe.
Wamejaa kila mahali hadi kero.
Hivi sasa Arusha kuendesha gari ni adhabu.
Rais kama anataka kutusaidia asafishe jeshi la polisi. Walioko madarakani kwa sasa vichwa vyao ni vigumu mno.
Hiki nikikundi cha kigaidi alikiacha Jiwe kila siku kuonea raia mwema,kupanga njama zakuangamiza viongozi wa upinzani, kuteka ,kuua,kupora n.k ..hivi kamanda Badluck na Kaigai wako wapi? mama isuku Jeshi nzima kama vipi livunje kabisa tubaki tuu na JWTZ.
Hakuna ubishi kwamba wapo Polisi wabaya lakini Pia tusipofushwe macho kwamba Polisi wazuri wapo.
Tatizo la Polisi wanapambana na MAKUNDI makuu mawili Mlalamikaji Kwa upande mmoja na mlalamikiwa Kwa upande wa pili na Kwa vyovyote vile lazima mmoja ashinde na yeyote atakaye shinda lazima atakayeshindwa awachukie Polisi lakini Pia majumu Yao ya kukamata yanaongeza maadui wao kila siku mfano ukimkamata Baba yangu Kwa kosa lolote Lile lazima Mimi na familia nzima tuwachukie Polisi wote. Kwahiyo hakuna wakati wanaweza kuwafurahisha Pande zote na hiyo ndiyo sababu ya kuwachukia na kusingizia kwamba wanabambikiza kesi hovyohovyo.
Sababu nyingine ni Serikali kutokuwekeza Kwa Jeshi la Polisi wakiwaacha watumie fursa za kuombaomba ukitaka mtoto wako awe na TABIA mbaya mruhusi aanze kuishi Kwa kutegemea majirani.
Taarifa ya Ikulu imesema Serikali itatumia Sh9.7 trilioni katika mwaka wa fedha 2022/23 kwa ajili ya mishahara, ambapo kati yake Sh1.59 trilioni sawa na asilimia 19.51 ni ongezeko katika bajeti...