Shida ya kuwa na madereva wasio na weledi. Bust ya tairi ya nyuma haiwezi kufanya gari ipoteze uelekeo iwapo dereva hakukanyaga break.Hutakiwi kukanyaga break pale tairi inapopasuka,.Eneo la Same lina Upepo mkali muda wote. hutakiwi kwenda kasi inayozidi km 80 kwa saa.Hapa ni uzoefu ulikosekana. Pole kwa wafiwa, na Mungu awajalie wepesi wa kupona wale majeruhi.