Sifi Leo
Platinum Member
- Mar 30, 2012
- 5,939
- 10,823
Lazima tutafakari kwa pamoja.
Nitakuwepo kwenye mazishi ya watakaokosa ndugu zao, nitakuwepo kwa kuaga watakaokuwa na ndugu, nitakuwepo kwenye ibada leo pale Same.
Ila nina swali hili:
Mbona watu wanaofanya vitu vinavyomtukuza Mungu na kumpa sifa anazostahili Mungu wanapata ajali na kufia Same? Waliokufa wengi kwenye gari aina ya Costa ni wakazi wa Same Mjini waliokuwa wanaenda kwenye sherehe ya ndoa.
Soma Pia: Idadi ya vifo katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Saba Saba vimefika 42
Je, kwa nini Mungu hakuwa nao au viunga vya Same ni vizito?
Kumbuka siku za hivi karibuni wanakwaya kadhaa walipoteza maisha kwa ajali hapa hapa wilaya ya Same
Nitakuwepo kwenye mazishi ya watakaokosa ndugu zao, nitakuwepo kwa kuaga watakaokuwa na ndugu, nitakuwepo kwenye ibada leo pale Same.
Ila nina swali hili:
Mbona watu wanaofanya vitu vinavyomtukuza Mungu na kumpa sifa anazostahili Mungu wanapata ajali na kufia Same? Waliokufa wengi kwenye gari aina ya Costa ni wakazi wa Same Mjini waliokuwa wanaenda kwenye sherehe ya ndoa.
Soma Pia: Idadi ya vifo katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Saba Saba vimefika 42
Je, kwa nini Mungu hakuwa nao au viunga vya Same ni vizito?
Kumbuka siku za hivi karibuni wanakwaya kadhaa walipoteza maisha kwa ajali hapa hapa wilaya ya Same