jamaa wana msimamo sana! Nimewakubali Shabab
Waruhusu sambusa za pembe nne au tano kama ishu ni umbo la pembe tatu. Poor Al-Shaabab you should've done a little research on it, if the issue was a shape of samosa!
Mirungi ukichanganya na bange akili inakuwa inawaza maovu tu. Wakimaliza kuzipiga marufuku sambusa nyama watapiga marufuku magari kwani ni ya wamagharibi?