Samatta yuko Germany

Samatta yuko Germany

Wee jamaa siku hizi sijui umekuwaje.

Sasa ndio umereply nini.

Si bora ungetulia.
Ingawa wewe unamshangaa yeye na mimi ninakushangaa wewe kwenye uzi wa kuhusu Samatta kuonekana Germany umecomment nini sasa ?.., ingawa na mwingine atakuwa na haki ya kunishangaa mimi kuendeleza huu mnyororo wa habari ambazo hazimsaidii mleta uzi kupata information..

Taabu Sana...
 
Huyu mwamba sijui huwa anakwama wapi aisee... Kipindi cha nyumba nilikuwa namfuatilia sana michango yake alikuwa na nondo sana, tangia alivyo kuja kum cc Mahando basi na akili zako zimechukuliwa na huyo demu...
Tumsaidieni jamaa.

Maana siku hizi amebadilishana hadi akili na shemeji yetu.
 
Back
Top Bottom