nipekidogo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 1,587
- 3,026
Amen, ila wenzake wamdondoshee mipira sasa!Dah! Mwanzo mzuri kwake. Namuomba Mungu azidi kumpa afya njema ili afanye makubwa zaidi ya alipotoka!
Wanakuwa kama na kauchoyo flani vile au kutoa pasi kwa kujuana flani
Sent using Jamii Forums mobile app