Samani za Benki ya Exim nchini kupigwa mnada

Samani za Benki ya Exim nchini kupigwa mnada

Eeeh hii habari sijaielewa kwakweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujaelewa nini? kuna mteja wa hiyo benki anaidai hiyo Bank Tsh Billion 1 na Exim wanajifanya kuzinguka wasilipe sasa kesi ilikuwa Mahakamni mwisho wa siku Hukumu imetoka kama hawawezi kulipa basi Samani zipigwe mnada mpaka kiasi hicho cha edha kipatikane huyo mtu alipwe.
 
Thamani za Benki za Exim katika Matawi yote hapa nchini zitapigwa mnada kwa amri ya Mahakama baada ya benki hiyo kushindwa kulipa deni LA mteja wao ambapo pamoja na gharama mbalimbali ikiwemo uendeshaji wa kesi kwa zaidi ya miaka 13 ,limefika kiwango cha zaidi ya sh,Bilioni 1.

Maamuzi ya Mahakama yalifanyika Jana na utekelezaji wake unaanza muda huu

Hivi sasa Dalali wa Mahakama yupo ndani ya benki hiyo tawi LA Arusha ili kuanza utekelezaji wa kutoa vitu nje ikiwemo viti,meza, laptops,Kompyuta na vingine jambo litakalo walazimu wateza na wafanyakazi wa benki hiyo kukaa chini ya sakafu .

Kwa mujibu wa nakala ya hukumu ,zoezi hilo litatekelezwa katika matawi yote ya benki hiyo yaliyopo hapa nchini.


Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa hapo kwa wafanyakazi "kukaa chini sakafuni" nadhani ungepaacha hahaha kwani lazima wakae?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Benki ya Exim ipo taabani kifedha baada ya kushindwa kulipa kiasi cha sh,bilioni 1 inayodaiwa na mteja wake ambaye alifungua kesi Mahakamani.



IMG_20190205_151152.jpeg
IMG_20190205_151425.jpeg
IMG_20190205_135442.jpeg
IMG_20190205_151054.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujaelewa nini? kuna mteja wa hiyo benki anaidai hiyo Bank Tsh Billion 1 na Exim wanajifanya kuzinguka wasilipe sasa kesi ilikuwa Mahakamni mwisho wa siku Hukumu imetoka kama hawawezi kulipa basi Samani zipigwe mnada mpaka kiasi hicho cha edha kipatikane huyo mtu alipwe.
Oohoooo sawa mkuu....kwahiyo ndo mpaka Exim branches zote nchini samani zao zitauzwa sio?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
mmmh nitakuwa wa mwisho kuamini huu uzushi
weka source ya habari yako
 
Dhima yako ni kutupa taarifa ya bidhaa,

Hebu tupe mrejesho wa vitu mtakavyouza kama grease italainisha vyuma tuje kukagua na kununua...
 
Exim wametoa tamko la kuwatoa hofu wateja wake kuhusiana na habari zinazo sambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana kupigwa mnada kwa mali Zake katika matawi ya benk hiyo yaliyopo mkoan Arusha..aidha wamesema wamekata rufaa ya kupinga hukumu ya kesi hiyo...for reference see attached formal notice.
b588959045946682c6b22ed0bfe3496d.jpeg
 
Tembeeni kifua mbele we are in the right track
 
Samani za Benki za Exim katika Matawi yote hapa nchini zitapigwa mnada kwa amri ya Mahakama baada ya benki hiyo kushindwa kulipa deni LA mteja wao ambapo pamoja na gharama mbalimbali ikiwemo uendeshaji wa kesi kwa zaidi ya miaka 13 ,limefika kiwango cha zaidi ya sh,Bilioni 1.

Maamuzi ya Mahakama yalifanyika Jana na utekelezaji wake unaanza muda huu

Hivi sasa Dalali wa Mahakama yupo ndani ya benki hiyo tawi la Arusha ili kuanza utekelezaji wa kutoa vitu nje ikiwemo viti,meza, laptops,Kompyuta na vingine jambo litakalo walazimu wateza na wafanyakazi wa benki hiyo kukaa chini ya sakafu .

Kwa mujibu wa nakala ya hukumu ,zoezi hilo litatekelezwa katika matawi yote ya benki hiyo yaliyopo hapa nchini.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kesi naisikiasikia tu, hivi ni nani hasa anayewadai hawa jamaa na ilikkuwaje hasa? Mwenye information kamili atujuze wakuu!
 
Uzwazwa wa level za juu....haijawah kutokea wala haitotokea...huyu aliyetoa huu uzi hamna analolijua...kwa maana nyingine ni mpumbavu na siyo mjinga
Mbona unamshambulia mleta mada?! Hiyo taarifa aliyoleta ni yakweli, ila EXIM wamekata rufaa.
 
Wafanyakazi katika benki ya EXIM Tawi LA Arusha wamelazimika kukaa chini bila viti wala meza baada ya Mahakama kuu kanda ya Arusha, kuridhia kuuzwa kwa samani zake za ndani,kutokana na kushindwa kulipa deni LA sh,bil.1.3 wanazodaiwa na mteja...tazama meza na viti vinavyoshombwa ili kupigwa mnada Feb. 16 mwaka huu.

exim.jpg
exim2.jpg
exim3.jpg
exim4.jpg
exim5.jpg
 
Lini utaacha upotoshaji..?? Kichwa cha habari na habari kamili haviendani.

Wafanyakazi katika benki ya EXIM Tawi LA Arusha wamelazimika kukaa chini bila viti wala meza baada ya Mahakama kuu kanda ya Arusha, kuridhia kuuzwa kwa samani zake za ndani,kutokana na kushindwa kulipa deni LA sh,bil.1.3 wanazodaiwa na mteja...tazama meza na viti vinavyoshombwa ili kupigwa mnada Feb. 16 mwaka huu.

View attachment 1015022View attachment 1015037View attachment 1015038View attachment 1015039View attachment 1015040
 
Back
Top Bottom