Mshangaaji
Member
- Jul 3, 2007
- 12
- 0
Inasemekana kuwa ile meli iliyokamatwa ikivua kwenye pwani yetu ilipata kibali toka Zanzibar, sasa nini kilitokea hadi washindwe kuonyesha kibali hicho mara tu walipokamatwa hadi ikapelekea kesi ichukue muda mrefu hivyo?. Wasiwasi wangu ni kwamba mafisadi wamejipanga kucheza game nyingine ya kutaka kula pesa za walipa kodi. Endapo hawatakutwa na hatia then what next! Ni kuishtaki serikali na kudai fidia ya matrilloni, I can smell a rat here.