shansarie JF-Expert Member May 25, 2013 5,690 3,357 Jul 11, 2017 #81 Hiilazima nimpikie kiwatengu Sent from my Z970 using JamiiForums mobile app
Mahondaw JF-Expert Member Apr 9, 2013 61,944 156,095 Jul 11, 2017 #82 Napenda sana samaki ila sio wa michuzi eti...... Supu ya samaki pia mulemuleeee Cc Smart911
kijani11 JF-Expert Member Jan 19, 2014 7,629 7,395 Aug 8, 2017 #83 Shughuli ya huyu samaki wa kupaka ni kumgeuza wakati wa kuchoma yaani anagandia kwenye kifaa cha kuchoma sijui kuna mbinu gani ya kuepuka hilo Cc. farkhina
Shughuli ya huyu samaki wa kupaka ni kumgeuza wakati wa kuchoma yaani anagandia kwenye kifaa cha kuchoma sijui kuna mbinu gani ya kuepuka hilo Cc. farkhina
F farkhina Platinum Member Mar 14, 2012 14,568 16,906 Aug 8, 2017 Thread starter #84 kijani11 said: Shughuli ya huyu samaki wa kupaka ni kumgeuza wakati wa kuchoma yaani anagandia kwenye kifaa cha kuchoma sijui kuna mbinu gani ya kuepuka hilo Cc. farkhina Click to expand... Paka mafuta au samli kwenye kifaa cha kuchomea kabla hujamuweka samaki
kijani11 said: Shughuli ya huyu samaki wa kupaka ni kumgeuza wakati wa kuchoma yaani anagandia kwenye kifaa cha kuchoma sijui kuna mbinu gani ya kuepuka hilo Cc. farkhina Click to expand... Paka mafuta au samli kwenye kifaa cha kuchomea kabla hujamuweka samaki
kijani11 JF-Expert Member Jan 19, 2014 7,629 7,395 Aug 9, 2017 #85 farkhina said: Paka mafuta au samli kwenye kifaa cha kuchomea kabla hujamuweka samaki Click to expand... Asante safari ijayo ntafanya hivyo
farkhina said: Paka mafuta au samli kwenye kifaa cha kuchomea kabla hujamuweka samaki Click to expand... Asante safari ijayo ntafanya hivyo
F farkhina Platinum Member Mar 14, 2012 14,568 16,906 Aug 9, 2017 Thread starter #86 kijani11 said: Asante safari ijayo ntafanya hivyo Click to expand... Kila la kheir karibu sana