- Thread starter
- #21
Pakiwa na ugali na mboga ya majani hapo unashangaa tu sahani imekuwa nyeupe!!!!
Shukran ukhti
A'fuan habibty....m
Pakiwa na ugali na mboga ya majani hapo unashangaa tu sahani imekuwa nyeupe!!!!
Shukran ukhti
Mbona Samaki wenyewe mmoja unawalika watu wengi? Je tutashiba kweli bibie?
Mbona Samaki wenyewe mmoja unawalika watu wengi? Je tutashiba kweli bibie?
thanks love...ntajitahidi maana samaki nawapenda
lol sijapika chapati nna muda kweli lolSawa...usijali
Vipi zoezi la chapati limeishiaje?
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Ku-gain weight kunauaMfe? Kwani kula kunauua??
Nadhani jamaa alikuwa na tafsiri nyingine kidogo.Ndio...mbona unashangaa
Ndio...mbona unashangaa
Kitu cha samaki
Leo jioni nitamla lazima
Umenitia hamuu
A'fuan habibty....m
thanks for menu sir..Mahitaji
1)Samaki mkubwa...
2)nyanya 2..
3)kitunguu thomu 1 teaspoon..
4)tangawizi 1 teaspoon
5)bizari ya njano kiasi
6)bizari ya pilau 1 teaspoon...
7)ndimu 2...
8)kitunguu maji 1..
9)chumvi kiasi
10)pilipili manga 1 teaspoon
11)pilipili mbuzi 1
12)tomato sauce
13)tui la nazi 1-1.5 kikombe...
Namna ya kutaarisha samaki
1)safisha vizuri samaki wako na umeweke alama kwa kisu ili viungo viingie ndani ya samaki..muache akolee viungo for 30minutes
2)weka samaki kwenye trey na umuunge kwa pilipili manga,chumvi,ndimu 1,bizari ya pilau,kitunguu saumu na tangawizi...
3)muweke kwenye oven moto kiasi ili awive vizuri....akiwiva upande mmoja mgeuze upande wa pili...
4)ukishawiva pande zote mbili weka samaki kwenye sahani.....
Namna ya kutaarisha sauce
1)saga nyanya,pilipili mbuzi na kitunguu maji weka maji kidogo sana au unaweza tumia tui badala ya maji..
2)weka tui jikoni,mimina mchanganyiko wako uliosaga,weka na bizari...koroga na wacha vichemke vizuri
3)weka tomato paste kiasi ili sauce iwe nzito nzito...
4)weka ndimu....acha ichemke kwa dakika 5 then epua
5)mimina sauce yako juu ya samaki ulimtaarisha kabla
Samaki wa kupaka (grilled chicken with coconut sauce) tayari kwa kuliwa...
Barikiwa sana
aisee ndo kinini hiki..
Huku saa hizi ni saa sita kasoro tano, ubao umenishika lunchi ni hii Sandwich ya Kizungu na wewe ndo kwanza unaongelea samaki wa kuchora sijui kupaka????
Hapo! Mate debe.